Ebu kwanza mnge nihakikishia kuwa nikwel kwamba baada ya kumalzika kwa ujenzi wa bandari ya bagamoyo uchna itapewa miaka hamsini ya kuiendesha na watakuwa wakikusanya kila kodi na kwamuda huo wote bandari za jirani kama tanga na ile ya dar ztakuwa zimefungwa
Nimeckia ya juu juu kwenye mkataba wa ujenzi wa bandari ya bagamoyo na uchina ni madudu matupu naomba mwenye taarifa kamili anithibitishie tafadhari this for great thinker only
Yasemekana matokeo kidato cha nne kutoka j3. Na kupitia mtandao wao wa facebook wametoa link ambazo zitakua na matokeo baada ya kutangazwa hivi karibuni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.