Search results

  1. Y

    J.K wakwanza NIDHAMU,TAALUMA NA UWAJIBIKAJI/J.K wapili DHARAU,UJINGA NA UBINAFSISHAJI

    Ebu kwanza mnge nihakikishia kuwa nikwel kwamba baada ya kumalzika kwa ujenzi wa bandari ya bagamoyo uchna itapewa miaka hamsini ya kuiendesha na watakuwa wakikusanya kila kodi na kwamuda huo wote bandari za jirani kama tanga na ile ya dar ztakuwa zimefungwa
  2. Y

    J.K wakwanza NIDHAMU,TAALUMA NA UWAJIBIKAJI/J.K wapili DHARAU,UJINGA NA UBINAFSISHAJI

    Nimeckia ya juu juu kwenye mkataba wa ujenzi wa bandari ya bagamoyo na uchina ni madudu matupu naomba mwenye taarifa kamili anithibitishie tafadhari this for great thinker only
  3. Y

    Utata wa uraia wa r.kelly

    Ebu mnisaidie mana nime-google hadi nimechoka Eti R.KELLY Alizaliwa wapi au ni mtu mwenye asili ya nchi gani hapa Afrika?
  4. Y

    Shule zilozoongoza matokeo kidato cha nne 2012/2013

    hii mwaka huu haijaongoza kwel au mme sahau?
  5. Y

    Shule zilozoongoza matokeo kidato cha nne 2012/2013

    Nyingne ni job ndugai seb school
  6. Y

    Tetesi za Matokeo ya NECTA kidato cha nne 2012 [Kabla Hayajatoka]

    Yasemekana matokeo kidato cha nne kutoka j3. Na kupitia mtandao wao wa facebook wametoa link ambazo zitakua na matokeo baada ya kutangazwa hivi karibuni.
  7. Y

    TANZIA Msanii Sajuki afariki dunia

    R.I.P sajuki
  8. Y

    Lema awaliza NCCR Manyara, kigogo ahamia CHADEMA!

    Iwe kazi tu na isiwe sifa tu.
Back
Top Bottom