Nimegundua kitu, moja wapo ya resolutions za CHAI CHUNGU ilikua ni kutupia post nyingi iwezekanavyo mwaka huu 2013 na kweli anatimiza hilo!
Hongera sana:A S 41:
1. Mko wangapi kwenye limtandao lenu? Tulizaneni.
2. hhehheheh nacheka mbavu sina hapo kwenye bold...ndio anavokudanganya? Angemuoa in the first place?
3. Ushauri wangu - achaneni na hao spouse wenu oaneni muone kama na nyinyi mkiwa pamoja 24/7/365 kama mtaendelea kuivana hivo hivo!:mad2:
Mh lara 1 kwenye swala la usafi hapo mwenzangu muhimu - utakua hujawahi kukutana na kituko (nje bonge ya brotherman ila harufu ya mdomo ka papa kaoza)! walah hata kama umelewa pombe yote inakata ghafla na ashki ndio inaisha kabisaaa unaanza siku zako hapo hapo!
Pole sana, unaweza kuwa unamuongoza ama kusema wote sala hii fupi nina imani atapona tu mkimtumainia yeye aliye juu, pamoja na kumpeleka kuombewa pia jitihada zenu ni muhimu:
Moto wa Roho Mtakatifu x7
Damu ya Yesu x7
Katika jina la Yesu x3
Baba wa Mbinguni ninakushukuru kwa kuwa ulisema katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.