You have said it all!
Watu wanafiki sana.Being gay inamhusu nn mtu?
Leo nimeshuhudia watu wanazozana hadi kutaka kupigana kisa Barack Obama kaonyesha support to this gay guy.
Nilishangaa kwamba his sexual orientation inawaongezea au kuwapunguzia nn.
Isitoshe there are so many good gay people -...
Inaelekea hujui mengi ndugu.
Wazazi hawakukatazwa wala kurubuniwa bali wenyewe walikataa wenyewe kwa sababu zao wenyewe, wakitaka marehemu azikwe TZ.MAREHEMU MWENYEWE aliandika WILL akielekeza azikwe pale atakapofia. Pili, Baba ni wakili mashuhuri wa siku nyingi, Mzee Juma Mawalla.Ilitegemewa...
Ni halali kabisa.
Utaratibu ndio huo - Ikiwa umeajiriwa Jaji Mkuu anaweza kukuapisha tu ikiwa utapata barua ya kukuombea kwake kutoka kwa mwajiri wako.
Mahakimu watapewa barua na mwajiri yupi ikiwa wao wako Judiciary?
Hilo linawakumba wengi walio kwenye ajira na siyo wao tu.
Wakiona wanautaka...
FB na JF tofauti yake hasa ni ipi? Kwangu mimi zote ni social networks.
Inategemea unaowasiliana nao ni watu wa namna gani.JF pia kuna watu wenye mambo ya kitoto
kama ambavyo FB nako kuna watu wanawasiliana kwa mambo ya maana
ikiwemo mitandao ya kibiashara na kuelimishana.
Mwandiko unaakisi personality ya mtu.
Hata hivyo kuna miandiko ukiiona huwezi kujua huyu aliyeandika ni mwanamke au mwanaume.
Waliosoma shule zenye kuumba mwandiko wa mwanafunzi utaona miandiko ya wasichana na wavulana inakua na mfanano kwa kiasi kikubwa.
Ila kuna ile miandiko "classic" ya kike...
Ni kweli kabisa AshaDii.
Ishu ya huyu judge ni more on "technicalities" ambazo zimewekwa na sheria zenyewe.
Judge muhusika anayo 1st degree lakini siyo ya sheria. Kisha akasomea Masters ya Sheria ilhali ili uwe judge lazima uwe na degree yab kwanza ya sheria - LLB.
Usomi wa huyu jaji hauna...
Michango ya kila JF member hunifikirisha sana - hata iwe issue ndogo vipi.Nawatambueni nyote kwa ujumla wenu.
Hata hivyo sina budi kutambua kwa namna ya pekee wafuatao:
AshaDii, Roulette, Mwanajamii1, - Hawa ni zaidi ya JF contributors maana ni marafiki wa "karibu" wanaoifanya JF kwangu iwe a...
Usikae kimya.Si kakuomba ruhusa akamuuguze mwanaye mwenyewe?
Mwambie " sawa mama mkwe, haina shida hata kidogo.Basi mcukue tu maana naona utakua umenisaidia kwa kweli.Asante sana kwa msaada."
Kama alikua anatafuta ugomvi na wewe, utakuwa umemmaliza kisayansi.
Ruta bana!
Ina maana ukijua kua kitu kipo basi ni lazima kiwe kimekufika?
Kujua kifo kipo haina maana ulikufa ukafufuka lol
On a serious note, Hizi tabia zipo kotekote.Kuna wanawake wanakera kwa kuombaomba na pia wako wanaume wanaokera kwa kuombaomba.Isingekuwa wapo tena toka zamani basi...
Kuna rafiki yangu kanitumia hii article:
Sextesting, head-covering, outing, unisex crying, flowers and more
Just a few mid-term up-dates on gender issues at the Olympics 2012
First of all on the issue of sex-testing : while experts debate the usefulness and propriety of...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.