Mkuu Habari,baado Nahudumia Kitalu Jumapili Nitahamishia Shambani Sasa Shamba Nimekodi Na Huenda Nikalima Mara Moja Hii Tu,nimepata Samadi Ya Ng'ombe Ya Kutosha Sehemu Sasa Naomba Kujua Umuhimu Wake Kwenye Nyanya,inaongeza Mapato Kiasi Gan Na Kama Kuwekwa Inawekwaje Kwenye Mashimo Na Je Nikiweka...
Mkuu Hili Tatizo Limeonekana Baada Ya Kupuliza Ile Dawa Na Kuna Kitalu Sijapuliza Sijaona Hilo Tatizo Sasa Nitaka Kujua Kama Effect Ya Dawa Inaweza Fanya Miche Ilike?
Mkuu Habari,nimepuli Victory 72wp(mancozeb 64% Metalaxyl 8%) Kwa Lengo La Kuua Fangasi Cha Ajabu Miche Mingi Imelala Nikiinua Na Kuangalia Pale Chini Ni Kama Inataka Kukatika Na Hivyo Inashindwa Kusimama.Sasa Je Ni Kwamba Imeshaharibiwa Na Dawa? Maana Ni Karibu Nusu Ya Yote Iko Hivyo Ukiuangalia...
Mkuu Samahani Natamani Nipande Nyanya Ndefu Kwenye Open Space Kama Je Inaweza Kufanya Vizuri Kama Zile Za Size Ya Kati? Au Kuna Madhara Au Faida Gani Kutumia Mbegu Ndefu Kama Anna Na Nyinginezo?
Mkuu Samahani Natamani Nipande Nyanya Ndefu Kwenye Open Space Kama Je Inaweza Kufanya Vizuri Kama Zile Za Size Ya Kati? Au Kuna Madhara Au Faida Gani Kutumia Mbegu Ndefu Kama Anna Na Nyinginezo?
Mkuu Mchwa Naweza Wadhibiti Vp Shamban? Maana Nimekatua Nataka Kupanda Nyanya Wakati Naweka Mabelt Nigundua Pana Mchwa Sana Nifanyaje? Au Hawana Athari?
Mkuu Habari,naomba Kufahamu Mambo Yafuatayo: 1.Kuna Dawa Inaitwa Swing Sc Nimeambiwa Ni Dawa Ya Kuzuia Mnyauko(wilt) Kwenye Mimea Kwamba Inapulizwa Kwenye Mashimo Kabla Ya Kupandikiza Sasa Naomba Kujua Ni Kweli? Pia Naomba Kujua Ni Kwa Namna Gani Naweza Kuzuia Athar Za Mvua Kwenye Kitalu Cha...
Mkuu Habari,pole Na Ahsante Kwa Elimu Unayotupatia.Naomba Kujua:nimeambiwa Na Wauzaji(East West Seed) Kuwa Kipato F1 inatakiwa kupandwa sm 75 kwa 75 na victory f1 1m kwa 1m sasa naomba kujua athari za kupunguza yaan kwa mfano kipato f1 nikafanya sm50 na victory sm75? na je kuanzia siku yangu...
Mkuu Naomba Kufahamu Kuna Utofauti Wa Ubora Baina Ya Mbegu Hybrid Za Nyanya? Kama Upo Ni Mbegu Gani Bora Kuliko Zote? Na Je Ni Kweli Mbegu Hizi Zinastahimili Magonjwa Kama Vile Ukungu,magonjwa Ya Udongo Ya Virus Na Bakteria Ikiwa Ni Pamoja Na Mnyauko? Na Je Nikikamua Mbegu Ya Hybrid Nikapanda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.