Breaking news ya family Yako sio humu kwenye jukwaa maana inaonyesha ni kwa interest Yako ,why msichana na why ukerewe kwa hiyo akisoma akamaliza ,Bahati mbaya akapata Ajali AKafa ?utatoa tangazo Kama hili tena.?.
Katika Hali isiyokuwa ya kawaida Meya ya jiji Hilo CCM nyamagana Bwana Mabula amenusurika kwenye kura ya Madiwani wenzake ya kutokuwa na Imani na yeye fununu: za kikao cha Mwisho cha Madiwani wa ilemela Kiliamua, kupiga kura hiyo kwenye kikao chao cha Mwisho ndio zilipotokea hoja nyingine...
Habari hizi Mara Nyingi zinajirudia , ila Ana mahusiano ya karibu na meya aw mwanza meya anamahusiano na samweli sita ,lau masha,Ridhiwani Kikwete,pia jack alikuwa analindwa na matukio Kama hayo na manumba , na inasemekana ,wahusika waliodhurika waliapa kulipa kisasi,pia inasemekana Vijana wake...
katika Hali isiyokuwa ya kawaida serikali ya wanamagamba imeshindwa kabisa kutoa tamko juu ya kile kilichotokea Kule Arusha kulipuka kwa bomu June 15,kwenye mkutano wa Chadema.
Zaidi ya hapo ni pale waziri mkuu wa serikali ya wanamagamba badala ya kuonyesha masikitiko yeye Aliotoa Agizo la...
Hadi sasa hakuna shaka juu ya UMAARUFU wa Mbunge wa Monduli Mh. Lowasa katika harakati zake mbalimbali za kisiasa na hata utendaji wake kazi ambao unakumbukwa kwa ushupavu wake wa kufanya maamuzi ya manufaa katika kutimiza nia Njema kwa wananchi wenye Hali mbalimbali.
Mfano ameshiriki katika...
kawambwa asilaumiwe ana muda mfupi na wizara , uozo wa wizara alikabidhiwa tayari ukiwa hauna tiba , tusilaumu tone la maji katika bahari , kuna mambo ya msingi kabisa ambayo yanapaswa kutizamwa ikiwa nyongeza mishahara kwa walimu na motisha hayo mengine tusidanganyane yalikuwepo na...
Nasikitishwa na kauli ya waziri wa serikali ya zanzbar Bwn. Seif .S.Hamad kwa kulaani ujio na juhudi za mh. Nchimbi kwa tukio la mauaji ya Padre na uchomaji makanisa pale Zanzibar Mtu yoyote na waziri yoyote wa SMZ Tuwashangae ikiwa wanahoji ujio wako pale Zanzibar ,na nchimbi aanze na hao...
Wewe na waziri wako ndo tukushangae,nchimbi aanze na wewe inaonyesha unajua kiini au huyo kiongozi anayemlalama nchimbi awajibike , ukweli nchimbi kawagusa na kajua ukweli sasa ndo mana mnapinga juhudi zake ,ngoja mkianza kukamatwa na CIA, au mashirika ya nnje n ya kijasusi ndo mtajua aibu zenu...
Wewe na waziri wako ndo tukushangae,nchimbi aanze na wewe inaonyesha unajua kiini au huyo kiongozi anayemlalama nchimbi awajibike , ukweli nchimbi kawagusa na kajua ukweli sasa ndo mana mnapinga juhudi zake ,ngoja mkianza kukamatwa na CIA, au mashirika ya nnje n ya kijasusi ndo mtajua aibu zenu...
[I]Lakini tumeshangazwa sana kusikia kauli ya Waziri wa Mambo ya Nchi, Dr.Emmanuel Nchimbi kutoa hukumu kabla ya hata upelelezi. Nchimbi umesema kuwa tukio hili ni la kigaidi. Hapo tayari umeshaamua na kutoa fatwa. Sasa ina maana gani kusema kuwa upelelezi utaendelea au hadi kufikia kusema kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.