Waungwana nisaidieni.
Kompyuta yangu inapozimwa, nikija kuwasha inakuwa kama power haingii, ila baada ya kujaribu mara nyingi inawaka na shughuli zinaendelea. LAkini inapounganishwa kwenye power pamoja na kutowaka, kuna kitaa nyuma ya power supply kinakuwa kinawaka.
Inawezekana power supply...
Habari wakuu, laptop yangu inachora mstari kwenye screen, nimeshindwa nini nifanye ili kuondoa tatiizo hilo, pia sijajua hili linasababishawa na nini. Naomba msaada
wakati wa mapinduzi ya viwanda, mtu kuwa mkuu wa entity (kule ulaya) ilibidi uwe engineer maana suala ilikuwa ni what can you make. Baada ya kpindi hicho, ilionekana kama mtu unaweza taaluma ya financial management hukamatiki maana ilionekena mtumishi akishapata fedha kazi atakufanyia tu...
Huyu Mh. tunamjua utendajiwake, hakuingia leo kwenye baraza. Amekuwa naibu waziri wa Home affairs muda mrefu, lakini kule kwao kutoka wilaya moja haadi nyingine mpaka kusindikizwa na polisi Bml-Muleba, Chato-Bukombe, Ngara-Karagwe, Bukombe-Bml, nk. Leo amebadilika?? Haya ni maneno tu kapewa...
Baraza la Mawaziri la sasa,
2. OFISI YA MAKAMU WA RAIS
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (MUUNGANO)
Ndugu Samia H. Suluhu, Mb.,
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (MAZINGIRA)
Dr. Terezya P.L. Huvisa, Mb.,[/B]
6. OFISI YA MAKAMU WA RAIS
Naibu Waziri, Ofisi ya Makamu...
[SIZE=4]Wakuu, CHADEMA walitangaza kufanya maadamano makubwa LEO kupinga kukatika kwa umeme mjini SONGEA leo JMOSI. Inasemekana kuwa leo umeme haujakatika. Je nikwelli? Maandamano yamefanyika au la??/SIZE]
Huyu bwana ana matatizo. Dr. H. Mwinyi kama tuliona anatufaa tungemteua kwanza kuwa mbunge kama alivyo NAHODHA. Suala si Uzanzibar, ila Ubunge wa URT!!
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi
Ndugu Emmanuel Nchimbi, Mb.,
Huyu mheshimiwa tangu nimeanza kusikia jina lake sijawahi kusikia kitu alichofanya, labda kubadilishwa wizara kila baada ya siku chache tu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.