By Majita
Kova hawezi kupanda cheo zaidi ya hapo alipo.Uwezo wake mdogo mno kwanza najiuliza hapo kafika fikaje
Kama humjui vizuri kamanda KOVA jaribu kuandamana temu hii uone. Atakulenga za kiunoni.
Salamu wakuu!
Kwa uchunguzi wangu wa haraka, Tanzania huenda ndiyo nchi inayoongoza duniani kwa kuwa na mifuko mingi ya hifadhi ya jamii. Ifuatayo ndiyo mifuko ya hifadhi ya jamii hapa JMT: NSSF, PPF, LAPF, PSPF, GEPF. Kutokana na mlolongo huu wa mifuko ya hifadhi ya jamii, kumetokea tofauti...
Magori hana uwezo wa kutusemea sisi.Ashangaa tarehe nane siku ya mswaada tunaingia mjengoni kuitetea haki ye wenyewe . Na ole wao wathubutu kutunyima haki patachimbika.
Nivizuri waziri wa mawasiliano achukuwe hatua za kishelia kama alivyo fanya waziri wa DRC kwa makampuni yote ya simu .maana hapa Bongo tabia za mkampuni ya simu zinafanana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.