kwani toyota mark two haifiki bungeni? ndo mjue aina ya watu mnaowachagua wako kwa maslai ya taifa au familia zao,milion tisini inatosha na napendekeza ipunguzwe iwe milion60,hiki ni kipindi cha kazi tuu na sio matumizi yasio ya lazima.
hiyo condition tunaiita pseudopregnant ,na kupima mwapima ktk mazingira gani?ugonjwa wako ni siri kati ya dr nawewe maelezo inatakiwa utumie pm kama unaamini unaongea na daktari, usiexpose tatizo lako namna hiyo.
vijana acheni ushabiki msikilizeni mtu anaongea nini ndipo mtafakari mlio wengi mmekalia kahongwa namchafua lowassa,mnamfahamu lowassa? au ndo ushabiki? ukitaka kuwa mshabiki wa mtu lazima umjue mpaka ndani. na sio ooh msafi amekuwa msafi baada ya kuwa cdm? msiwe wavivu wa kufikilia na kufanya...
watanzania wengi wanasiasa za ushabiki.ukicheki walio wengi elimu yao ni ndogo kwasababu wanawaza kesho.wakishinda ukawa c kwamba watawagawia pesa kazi ni msingi wa maendeleo msije geuka kuwa wakimbiz nchini mwenu.hebu vijana mjitazame upya na kuwa na plan za miaka 20 mbele na sio kesho au bora...
nina uzoefu na biashara ya magari inalipa vzr 2 ila tatizo ni madereva maridadi kuwapata ni shida sana.me naweza kukushaur uanze na costa.ukimpata dereva ambaye anaendesha gari na kulichukulia ni chanzo cha ajira kwake utafaidi mpaka utamani kuongeza gar nyingine.kwa dereva makini ambaye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.