kisoria na kisorya kimatamshi ni sawa tofauti ni kimaandishi english - kisoria kiswahili kisorya. kwa hiyo kisoria na chisorya hakuna tofauti yoyote kimatamshi. rya = ria upo?
ni kama vile ujaelimika. mtu aliyeko london au mbeya ukimwambia kwamba unakaa kisorya, bila shaka atajua unakaa nje ya dunia. lakini ukimwambia kisoria atajua mara moja uko mara bunda. google kisorya na kisoria jibu utapata mwenyewe
people attending chadema meeting at kisoria.
makamanda wamesema mabadiliko ni lazima 2015.
kisoria/kisorya iko mkoa wa mara wilaya ya bunda [mwanzo na mwisho wa mkoa wa mara] na njia panda ya kuelekea kisiwa cha ukerewe na zimbabwe
watu wakisikiliza nenowatu baada ya mkutano wakirudi...
people attending chadema meeting at kisoria.
makamanda wamesema mabadiliko ni lazima 2015.
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/348757-picha-makamanda-wa-chadema-ndani-ya-mji-wa-kisoria-2.html #30 POST
Very astonished that the son of president of Tanzaniariziwan was caught in china 1st jly 2012 with cocaine. And released afteragreement of massive investment and permanent for china as a bond for riziwanito escape the rope. this happen after tz ambassador in china telephonedpresident kikwete 2nd...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.