Ndugu,
Umeandika kutetea yanayofanyika bila kujenga hoja.Ikulu sio mahali pakupanga mikakati ya kivyama.ile ni ofisi ya Rais wa watanzania wote.ni ofisi ya serikali sio ofisi ya chama.
Ni declare interest kwamba sina Maslahi yoyote ya kisiasa na Chama chochote cha Kisiasa.
Ila Kila kuchwapo huwa nachanganyikiwa kwa sababu kanuni ya swali sharti lijibiwe.Sasa Maswali genuine yameulizwa ila sioni Upande wapili ukijibu haya zaidi ya kutupa Vijembe.Haya ndiyo yanayowaondolea...
Great thinkers Salaam!
Nimekuwa nikifuatilia Bunge Maalum la katiba ila nimechoshwa na Malumbano ya mfumo wa Serikali Mbili au Tatu etc.Baada ya kufuatilia hoja ya Pande mbili hizi nnachokiona ni kwamba tulikuwa na kama kulikuwa na serikali tatu ila hazikuwa wazi.walio badili katiba baadae ndo...
Mheshimiwa sana Tunashukuru kwa kujitolea kwako kuondoa wananchi Ukungu kuhusu sheria hii inayopelekea mkataba mgumu ambao wengi wetu huwa tunadumbukia kwa kizio cha Mapenzi,na baadae huwa ni kilio na kusaga meno.Umejitolea at No Cost but surely that will get compensanted.
Naomba nikuulize...
Kwa kweli President amenidissapoint.Yeye kaenda kuijibu tume au Kufungua Bunge?Hoja za Tume ameshindwa kujibu hata Moja.Kwanini aliunda tume kama anabishana na mawazo ya wananchi?Kulikuwa na haja gani kuunda mchakato huu ilhali yeye analazimisha mfumo huu huu wa serikali mbili?wanataka katiba...
Mnao mchukia Warioba mna lenu Jambo... Na hii inaonyesha either 1.Mmezoea kuchakachua mambo na kuweka wachakachuzi ila sasa mambo hayakwenda kwa usanii mlio zoea
2.Mlizoea upendeleo ila wakati huu haki bin haki imetembea.
Ninashindwa kuelewa Rais kama alikuwa na Imani na Warioba na akamteua je...
Ajabu kuanzia Asubuhi mtandao wa CRDB Bank umekuwa ni wa kusua sua na Jioni hii wamezima ATM machine zote.Mwezi mzima wa January Shkamoo bata ilikuwa Baba Mkwe.
Kwa kuzingatia ni mwezi dume ambao una tar 45- 65 Kwa. Baadhi ya watu maana wengine walipokea mishahara nov na wengine katikati ya Dec...
Tuelezeni serikali ya CCM ina kusanya shilingi ngapi na inatumia shilingi ngapi na ngapi mmekopa na kwann?Natamani kanuniza Bunge zibadilishwe badala ya huu ujinga wa kusomeana budget tungesomewa kwanza mapato na Matumizi ya mwaka uliopita kisha ndo tusomewe bajeti ya mwaka ujao.Hakuna serikali...
Naona shuzi limempata mjambaji leo....Ritz anashangilia kweli.vp ule msemo maarufu "aliaye au achekaye sana kama sio ndugu wa marehemu basi ndie mchawi/Muuaji"
Kwanza hii haikukutwa kwenye tukio.... Kwahiyo Kova anashughuli pevu kuthibitisha madai yake.kilichofanyika hapa ni sanaa ku diverse...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.