Nchi nyingi za Africa, chumi zake zinashindwa kugusa Jamii ya watu wa chini, ona Ethiopian raia wake wanafuraha gani na uchumi wao? [Tunafail katika real translation, uchumi mzuri uendane na ubora katika tasnia nzima ya mtanzania na maisha yake]
KAMATI HIYO HIYO PIA ISIACHE KUCHUNGUZA KIFO CHA MPENDWA WETU MWANASIASA NGULI JASIRI LATE, BENJAMINI WILIAM MKAPA, IT WAS SO SUDDEENLY!, KUTOKA AFYA NZURI MNO, MPAKA KUFIKIA PALE!
°Alifariki wakati ambao kiongozi fulani akijaribu kujiongezea muda! Inatia shaka sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.