SHUGHULI ZANGU ZINAHUSISHA SANA MAENEO YA VIJIJINI NA NIMEPITA VIJIJI VINGI SANA TOKA KUSINI.NYANDA ZA JUU KUSINI .KASKAZINI .KATI.MQGHARIBI NA KANDA ZIWA.
kwa kweli ni sehemu ambazo ccm ina wapiga kura wengi halafu ni watu ambao hupiga kura.
watu wa vijijini kwa kweli wanapiga kura upinzani...
Wadau mko poa.?
Jana ilikuwa siku ya soko kijijini,sasa kunakuwa na nyama ya ng'ombe mbuzi na vinywaji kama kawaida yaani ni kama sherehe vile.
Mimi nikawa na kampani na mwenyeji wangu Mabula. Tukaanza kunywa weee kunywa sasa mimi kichwa panzi nikawa nakunywa natoka kidogo pembeni nalamba...
Kwa kifupi ni kwamba form kama yako na nyingine ambazo zina mapungufu watazirudisha, na kama ulichagua non priority (na sometimes hata kama kozi ni priority) ndo usahau maswala mkopo!!! Hii ilimtokea mwenzang enzi hizo tunaomba loan!!
Labda nikuulize, hiyo form ulikaanayo zaidi ya mwez je...
Kuna watu humu JF walikua wanaomba jinsi ya KUIFUTA TBC kwenye ving'amuzi vyao, je unasema nini kuhusu wao??? Nlishangaa sana tokea asubuhi mpaka jion tbc wanatangaza mambo ya ccm na sio ya taifa kama wanavyojinadi!!
Kumiliki clinic ya macho ni lazima uwe umesomea maswala ya macho? kumiliki kampuni ya ujenzi ni lazima uwe injinia? umesema kufungua centre ya mcho ni laki 6 (kitu ambacho kinaweza kuwa si kweli) je MD anakosa laki 6?
Kwa sheria UDSM na MZUMBE ndio vyuo vinavyosifika katika sekta hii!! ladba kidogo na SAUT (nikikumbuka mdogo wangu alivyoteseka huko wala sikushauri umpeleke mwanao kwenye hiki chuo)
Pitia huu uzi kuna mawazo yametolewa humo..
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-elimu-education-forum/890605-mwongozo-wa-kozi-za-shahada-za-uhandisi-hapa-tanzania.html
Unaelewa maana ya ujasiamali? mtu kuwa mjasiriamali sio lazima usome chuo, ni kitu mtu anazaliwa nacho bila kujali ni MD au huyo wa macho. Kwa hapa siungani na wewe, umedanganya.
Unaongelea maslahi kivipi? mshahara au?? kama ni salary hao wa macho hawawezi mzidi au kumkutia mtu wa MD!!
Bado...
Daaaahhh mamaa upo lakini??? naona nilichanganya madesa hapo!!
Si unajua tena hiki kiingilishi ni matatizo!!! Sorry kwa kukuzeesha kama alivyosema Karucee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.