Hii ni kukosa mawasiliano kati ya TANESCO na Mamlaka za serikali za mitaa (Halmashauri za miji, majiji au manispaa). Kimsingi TANESCO anatakiwa apate kibali/Ruhusa ya kuweka nguzo kutoka Mamlaka za Serikali za Mitaa, kwa mazoea huwa hawafanyi hivyo, na kibaya zaidi wakati wa matatizo kama haya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.