Nyie si wafufua misukule (cha ajabu wenyewe mnakufa), na matabibu wa vilema( lakini bado mnandugu walemavu) na wapika dawa za visukari na ngoma kwa vikombe vya jerojero (lakini mkiumwa ndo wa kwanza kukimbilia apolo)..sawa basi wajanja nyinyi.
Hata mimi nashangaa au sijui wao hawaonewi! ..mmh let me think ? labda pengine fedha za MOU zimewashona midomo..au labda serikali inawaogopa..kimsingi sioni dai lolote la wakristo lililokataliwa na serikali hiyo record sina kwa kweli.
MODs sioni sababu kwa nini mleta thread bado hajapigwa ban kwa kuleta habari za uongo na uchoche au siku hizi hili jukwaa limekuwa kichaka cha wavuta bangi.
yaani kuna watu wanapenda mauaji yatokee wakiwa wamesahau ule msemo usemao,
" ukiua kwa upanga utakufa kwa upanga" msije baadae mkasema waislam magaidi.
pamoja na kwamba hii ni post yangu ya kwanza humu jamvini , lakini nasikitika kuona huu uzi unavyo changiwa na baadhi ya wanaojiita sijui wafuasi wa vyama vya siasa kuwa biased kwenye dini zao, nadhani ingekuwa busara wale wanasheria waje hapa watuwekee bayana kuhusiana na hili sakata na sio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.