Mwanamume kama kichwa cha nyumba anawajibika kuhudumia familia yake vyema na anachohitaji ni kutiwa moyo na mkewe (kama ameoa), ili aendelee kufanya hivyo kwa uaminifu.
Mgao ni deal ya waku kuuza majenereta yao, Vyanzo vingi ya kuzalisha umeme vipo lakini havishughulikiwi. wazo la kununua umeme kutoka nchi jirani - Zambia,n.k.- limeishia wapi?
imebaki historia tu, kila mtu anawajibu wa kufanya ili tutoke hapa tulipo. ukitegemea viongozi wafanye utabaki ukilaumu, maana hawatendi wanayoahidi. Akili kichwani, Play your party every thing is possible under the sun.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.