Sijui kubishana lakini, Yule mama aliposema limebarikiwa tumbo lililokubeba na maziwa uliyonyonya Yesu Alisema wamebarikiwa wale wasikiao na kutenda neno la Mungu.
Angalau basi angesema wamebarikiwa wale wanaomwabudu bikira Maria....
Sent using Jamii Forums mobile app
Ungewaambia anaesikia Mapambo na kuyajibu ni YESU KRISTO peke yake.... Waambie wasome Mathayo 11:28-30 ukisikia Imani potofu ni kuamini kuwa Maria aliyekufa abaweza sikia, kupokea Maombi na kuyajibu...... Huko ni kuabudu sanamu.... Waambie wasome Kumb la Torati 5:8-10
Sent using Jamii Forums...
Nimesoma michango yenu... Bahati mbaya wachache sana wamejibu hoja. Kwa taaluma, mm ni Mwl, ukweli ni kwamba watu wanakwenda kazini na kuondoka.... Tena wanaondoka mapema kabla ya muda wa kazi kuisha.
Kuna kitu nimekigundua kwenye mada nyingi ambazo zinagusa maslahi ya watumishi, wananchi...
Kama kweli umeacha, Hongera sana. To work under someone had never made anyone free... Do your work and make your body tired for your own benefit..... Once again congratulations....
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.