Ukiangalia Yanga unagundua hizi timu zinafanana kila kitu inapokuja mpira wa ndani.
Ila ukisema ni mashindano ya CAF yule Mzee Kapombe anakuwa Under 20 vile anaupiga kama ndio kapandishwa leo toka timu ya Vijana anagombea namba na Kina Mwenda!
Huyu ni msemaji wa Klabu kongwe Tanzania,iliyozaliwa kutoka Kwa Watani zao wa Jadi..kiukweli mimi sijui elimu yake nasema ninachokiona na kuishi
Nina mambo mawili au Matatu kumhusu Manara
*Wasomi wanaona wivu kwa kipaji chake
*Afisa Masoko aliyeshinda wasomi wengi
Kuinadi simba hapa wenye...
Mimi natoa pole kwa familia waliokutwa na Misiba hii tunajua Haijawahi kuzoeleka.Kifo ni kigumu Hakina Maandalizi Apangalo Mola ni Lake.
Ila kuna cha kujifunza Kizazi cha Leo Hatuna UADILIFU tunatamani visivyo vyetu
Ajali imetokea watu wanaiba Mafuta Badala ya Kuokoa waathirika,
Familia kama...
Taja bila kuonea mtu ili tukomeshe hii tabia
Tafadhali usimtaje asiye na hatiaikibidi thibitisha tuataka Tanzania safi
Nimelenga watangazaji wa,vipindi vya miziki bongo land
Ni kweli Matajiri kama Majizo wa Efm,Kusaga Clouds fm,Mo dewji,Bakhresa na wengineo ambao sijawataja walianza na njia za ubaya kwa kudhulumu haki na hatimaye kufanikiwa?
Waache ila tushushe bei ya visa iwee chini ya $50 lakini kwa mtali kutoka njee pia mgeni kutoka huko kwao KUR. visa bei yake iwe mara mbili Tuone nani ana vivutio vingi
nimekuwa mdau na mfuatiliaji wa muziki wa kizazi kipya tangu kupevuka lakini katika msanii ambaye kawapiga bao wengi kwa ubunifu huyu sio mwingine ni diamond kiasi kwamba anawafanya chipukizi wote bongo fleva mpaka dini kumuiga hebua angalia video za huyo msanii hapo chini ndio utajua...
​Hebu jiulizeni hivi pale uchumi supermaket yule mwajiri wa wale wafanyakazi kuanzia supervisor mpaka chini nani anawalipa mshahara ni Tigo wanatoa pesa mfukoni wateja wanatumia mtandao wa laini zao za tigo, si mara moja kuna dharau ya hali ya juu..tawi lile supervisor nimemshuhudia...
Makosa ya kichapaji Katika heading ni kweli Ila Viwanja viko goba sio bunju jamani na bei vinaanzia million 40 tena viko barabarani njia ya kwenda wazo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.