Bado sijaona tajiri halisi mbongo kwenye hii biashara, watatoka mabilionea wachache Sana sababu the business is real na haiaminiki[emoji3] , mabilionea tutabaki kuwa wachache mno sababu utajiri ni imani ,
Umeshindwa kuiamini forex, amini utajiri wa makete njombe basi[emoji38][emoji38][emoji38]...
Mkuu hongera kama umeweza kutoka kwenye real standard account na kurudi kwenye cent account,
Psychologically ni ngumu sana kutoka kwenye real account kwenda cent au demo account hata kama umeunguza account 10!
Maana kila ukikaa unaona kama pesa inakupita
Jana kama hukuungana na jirani yako basi leo pambana na hali yako! Jana IMMA walipovamia kama hukukemea na kuona lissu ni kimbelembele basi leo limetokea kwako au ndugu yako wakili wa Manji! Hapa ndipo utakapolia na kusaga meno na kumkumbuka mbeba maono Lissu. #watu wasiojulikana
Sent using...
Mkuu dunia inazunguka Wakati Europe wanafunga soko Lao la pesa unakuta Australia wanafungua na Australia wakiwa wanafunga basi America wanafungua pia Kuna weekends masoko mengi hufungwa so kwenye mwingiliano wa hizo zones ndo zinaangukia j4,j5,alhamis ndo soko la pesa linafurahisha
Heshima kwenu wakuu!
Uwajibikaji wa viongozi wa umma na kiserikali si jambo jipya bali ni kitendo cha kuonesha kwa vitendo kuachia ngazi kwa kuto kutekeleza wajibu na majukumu waliyopewa na umma au na viongozi walio juu yao au kwa kutokutimiza matarajio ya majukumu yao.
Rais mstaafu mh Ali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.