Mwanakijiji nakuheshimu kwa threads unazotoa lakini hapa hakuna siri hata watoto waliohojiana na Mkuu wa wilaya uso kwa uso wanayajua yote haya na zaidi ya hayo. Mimi ninachoomba wakina Slaa, Zitto na wengine wazidi kusonga mbele na vijana na wakina mama wengi wafumbue macho na kuona, wazibuke...
Je hawa mafisadi TZ walioagiziwa furniture toka China na Dubai. Mungu yupo aliyemshughulikia Dito akiwa nje atawashughulikia pia hao walioacha furniture za nje na kuweka mabilion ya dhamana kuwa nje nae alikuwa nje akashughulikiwa na Mungu ndie yule yule asiyebadilika.
Tanzania haina utawala wa sheria, inaumiza na ni mbaya lakini tulipofikishwa Watanzania bora na hili Jeshi la mafisadi nalo lingejaribu kuchukua nchi sote tukacharazwa viboko, wakianzwa watawala au viongozi wa mafisadi hata kwa miaka mitano tu ndio tutashika adabu nchi hii. Inauma lakini ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.