Kweli asiyejua maana haambiwi maana.Hawa fastjet ni wafanyabiashara kama wengine tu.Kama unaelewa kuwa tiketi za ndege huwa zinaenda na season huwezi pata shida hata kidogo.Wao wako kibiashara na sasa ile promotion yao ya 45,000/=nadhani tutaisikia kwenye matangazo yao tu.Nilienda ofisi zao...
Kukata tamaa ni woga mbaya sana.Hebu kumbuka ulidhani Mkapa angeweza ku-make it 1995 na jinsi alivyosaidia kiunua uchumi wa watanzania na sio takwimu za uchumi wa Tanzania?Watu wapo tatizo ni chaguo sahihi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.