If you remember in 1998 MWEMBECHAI KILLING WALISEMA WAUENI WAHUNI HAO na waliotekeleza mauaji hao walipandishwa na vyeo na kushangiliwa na hata na PENGO kwa wakati huo rais alikaa kimya na wale wale wameendelea kufanya mauaji hayo tena kwa makusudi kabisa kamakwamba hatuna haki ya kuishi katika...
Waandishi wa habari na vyombo vyao wanatoa habari JK matokeo yamemshtua nawao wamkumbushe mahakamani alipokwenda cku anahutubia nayo ikafuata alisahau? Acwe nazi kwani alitegemea usanii wake ndio utawafunika wote? Na bado yanakuja alafu waandishi nao wasifanywe mbulula waambie wananchi ujinga...
wanapoamua kufanya jambo walitakalo hawashindwi hapa duniani lakini haki itapatikana na ndio maana dunia haitakuwa sehemu salama, na zinatakiwa radio zinazotangaza ushoga na usagaji. TBC ndio maana inayafanya ya kijinga kwa vile wajinga wengi watakuwa ktk mtizamo wa kidini huku wao wakiimarisha...
wanapoamua kufanya jambo walitakalo hawashindwi hapa duniani lakini haki itapatikana na ndio maana dunia haitakuwa sehemu salama, na zinatakiwa radio zinazotangaza ushoga na usagaji. TBC ndio maana inayafanya ya kijinga kwa vile wajinga wengi watakuwa ktk mtizamo wa kidini huku wao wakiimarisha...
Awali yayote niwapongeze wale ambao wamebahatika kufanya vizuri ktk mtihani wa kidato cha nne 2012 na kuwapa pole wote wasiofanya vizuri. Tunaposema elimu yetu ya kinafiki kihist6ria toka Nyerere ilikuwa ya magumashi kitabaka, itikadi na mengine mfano wanafunzi wa elimu ya juu walikuwa wachache...
tusemapo bila kulinganisha tukio la bomu la Arusha na tindikali Zanzibar? Haki itendeki au mmesahau Pengo alisema waliouawa Mwembechai ni wahuni? Sisi tutawaambia watu wetu wafanye hili au lile. Yanatokea na yatakuja sana
Hujuma imefanyika kuharibu mitambo ili bunge lisiweze kusikilizwa/kuonwa na watanzania ambao walikuwa na shauku ya kujua nini kitasemwa na wabunge kuhusu gesi,elimu na mengine kwani tumeona mara nyingi mijadala motomoto wanakatisha mara kwa mara ama Tanesco wanakata umeme
mahali ni migomo, Polisi wameua watu zaidi 8 masasi wananchi ambao hawana maji wala maendeleo yeyote. Vp walimu na madaktari nao warudi kundini mpaka kieleweke
Mengi yalifanyika kipindi cha Nyerere ambayo leo ndio tunaona matunda yake. Wapo wanaosema enzi za Nyerere ufisadi haukuwepo lakini tujiulize wameandaliwa na nani? Utaona wengi wao walizaliwa na kukuzwa na yeye ndo maana hila alizofanya kwa waswahili wa Mafia kubandua lami uwanja wa ndege na...
TBC wanatumia kodi zetu mhucka alikuwa idara ya habari maelezo na uccm pekee hapana na udini ndo unaoharibu habari za ibada ni jumapili tu kujua nani kasema hili na wapi? Wakati toka ijumaa na jumamosi hayasemwi au hawana la kusema viongozi wao. ITV awali walionyesha nao wamerudi kulekule kwa...
awali yayote yaupasa kukemea hali hii maana waathirika wa hili familia zao zinabaki ktk umasikini na mahangaiko makubwa. Polisi wanataka tuwatenge wao pamoja na familia zao mashuleni wajengewe hukohuko madukani hatutawauzia na hatutawakopesha
Hakika tunalo lakuwauliza kama Mkapa alidhubutu kuwa mkali katika baadhi ya vitu ambavyo alikuwa na maslahi navyo vp waliopo leo wameshindwa kukemea badala yake wamebaki kukenua meno na kuanzisha misemo mingi isiyo na tija kwa taifa vp leo kila kona kuna migomo ya wafanyakazi kila kona unyama...
Mpango walikurupuka bila kujipanga matokeo yake ndio yanaonekana na bado hawa hawaelewi mm nawafananisha na mbuzi wanackia ila hawaelewi ukitaka waelewe MZIGIMZIGI ndio unafaa. Akili ya kawaida ilibidi waanze na majaribio wao nchi nzima wakati mtoto anamaliziza KKK hazijui ataweza siriba? Mgomo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.