kuna kila dalili kuwa wote nyie ni vicheche. Uchumba unaanzia gesti? Ila akili ni nywele kila mtu ana zake. Ila tukumbuke hata watoto wanafika kwenye hii site, sijui wanajifunza nini!
chini ya miaka 18 unahesabika kuwa ni mtoto sasa wewe miaka 17 umezaa! Hizi si ndio mimba za utotoni. Aliyewaozesha kwa wakati huo inabidi akapimwe akili, nadhani wewe hivi vibinti vyetu unavifundisha majanga! Form 4 ulimaliza na miaka mingapi?
ukweli ni kwamba tabia nyingine zinakuwa nia za kurithi au saikological effects walizozipata kutokana na matendo ya wazazi wao. Mfano katika familia ambazo baba na mama wanapigana usiku, kutukanana au kusema uongo na watoto wao mostly likely they gona do the same in the future, kama ni wakiume...
ukichunguza vizuri mengine yana ukweli, je unaweza kutuambia saikological effects anazopata mtoto wazazi wanapotengana? Ni kwmba ni future naye hataona umuhimu wa ndoa!
tabia inahusika kwenye mapenzi, ukipenda kichwakichwa mengine ukayafukia jiandae kwa majanga huko mbeleni. Hata kama hela iliyopo si ya kujenga, usanii utatumika kwenye hata kodi ya meza
NB: watu wa aina hiyo wanakuwa na asili ya kusema uongo, ukimpenda basi uvumilie!
Pia usije kuolewa na mtu ambaye wazazi wake waliachana au kutengana kwani naye hatakuwa anaona umuhimu wa ndoa hata kama ameolewa, hii inatokana na kuathirika kisaikologia, uwezekano wa ndoa kuja kuvunjika baadaye ni mkubwa. Kama huamini chunguza!
yaani wameshajua udhaifu wetu ni kuangalia hiyo mambo huko nyuma, ila it mean nthing zaidi ya udhaifu. Kwanza ndio unakoenda kukutumia au ndio udhaifu.
yeeeees sawa kabisa,90% ni malaya, direct kwa kusimama barabarani na kwenye clubs na bars, indirect kwa kutuchuna, ndio maana wnanasema no money no love. Kama sio kuuziana ni nini? Kwani malaya anauza nini?!
Hilo ndio udhaifu wa wanawake, wanaweza kulipa fadhila kwa mwanamme wa nje kwa msaada aliopewa akasahau kuwa anaibomoa ndoa yake. Na wewe utacheat naye hadi lini? Na wewe huoni kama unataka kuiingiza familia yako kwenye majanga? Why don't let her go? Kata mawasiliano coz mamii wako akijua wema...
Kwanza labda ufahamu, ukiona unakumbwa na majanga mara kwa mara, tafakari tatizo linakuwa kwako wewe mwenyewe. Kutakuwa na tatizo kwenye maamuzi yako. Nb mambo haya fanya kwa uangalifu.
1. Maongezi
2. Maamuzi
3. Mapenzi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.