Mbeya ina matatizo mengi. Swala la jina la uwanja wa ndege ni dogo sana. Kwani jina lina nini? Badala ya kuomba barabara angalau kutoka mjini kufika hiyo airport au ufumbuzi wa ajali mlima Mbalizi. Barabara ya Katumba Mwakaleli Tukuyu bado.[emoji848][emoji848].
Chuki kwa Mwandosya haitabadilisha mchango wake kwa Tanzania wala haitapunguza akili Mungu alizompa. Prof. Tenda mema nenda zako ukisubiri shukrani nakusikiliza watu kama hao utachelewa
Aliyetoa mada au povu kuhusu Mwandosya naona ana chuki binafsi nae. Anauliza Mwandosya alifanya nini? Awaulize jimboni kwake. Afadhali siku hizi tunapanda ndege sijui kama mtoa mada anajua ilikua juhudi ya Mwandosya.Yeye Mbeya amejifanyia nini? Kwa taarifa yake, Mwandosya hatibiwi na Serikali...
Una uhakika na hayo unayosema? Umekosa kazi kweli. Mwandosya hata DC mwenyewe hamfahamu. Mzee wa watu anapumzika achana na majungu tafuta kiwanda ukafungue. Mwandosya aliyejitoa kuweka Mbeya kwenye map atarudishaje nyuma maendeleo ya Rungwe?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hmuuuu
Mikoa mingi haijaakilishwa lakini Iringa kama kawaida ni watu kibao
Makinda
Lukuvu
Mangula
PindiChana
Na huyo binti kuna nini kila wakati achaguliwe?????
Kauli ya Mheshimiwa JK inashangaza sana. Aliyoanzisha makundi na rushwa ni yeye na bado makundi yake yanaendelea hata bada ya miaka nane ya utawala. Mwandosya alimfanyia kitu gani kibaya?? Baada ya 2005 Mwandosya hakua na makundi wala kinyongo, aliendelea kutumikia nchi yake na kumpigia debe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.