Nionesheni wapi manji alishawahi ajiriwa serikalini akaiba akapeleka pesa uswiz dah watu bwana ama ulifikiri mtanzania haruhusiwi kuhifadhi fedha zake pahala anapohisi ni salama nje ya nchi yake? Tatizo lilikuwa mafisadi kuficha hela sasa Manji ni fisadi aliiba nini na lini na wapi
teh teh wananikumbusha yule mfuga nyoka wa kijijini kwetu sikimbi na yule aliyetaka kuanza kufuga nae bidhaa hii hadimu du wakaanza ooh sheria za kijiji haziruhusu kufuga nyoka nyumbani mara oohh sasa yule mfugaji mpya pamoja na majirani zake mbona yule mfugaji wa zamani anlifu na anaendelea...
Ruge Matak@ tuu ugomvi wake anataka uhamie kwa wasanii ila huu FA nae anatafuta kudharauliwa tuu naamini hategemei sanaaa muziki sasa hizi njaa hata sijui zinatokea wapi jamani au wana jengine kati yao Jide aje hapa jamvini atueleze, juzi Ommy dimpozz ameongea point sana wasanii washikamane na...
sijawahi ona Rais wa namna hii si tuu tanzania bali duniani kwa ujumla nyere aliliona hili ndo maana 1995 alimkataa na kumweka jembe (MKAPA) , mkadhani babu kakosea haya sasa oneni, hapo na badooo ndo picha linaanza
Wewe Nauye nasikitika kama mpaka leo na wewe huwezi toka kwenye lindi hilo la mawazo finyu aka Ubongo wa mende kichwa cha tembo, kwa sasa njia pekee ya ninyi na wezi wenzio kuendelea kutawala ni kuachana na CHADEMA na kuweka mikakati yenu endelevu ya namna ya kurudisha imani ya wananchi ilopotea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.