Nashangaa watanzania kuwafanya wapinzani kama malaika, kwamba wana uwezo kupita wa kibinadamu. Hata ni watu kama mm na ww, tofauti inaweza kuwa wamekuwa jasiri kutumia haki yao ya kikatiba.
Nao wanatafuta taarifa kama mm na ww, na wasipoungwa mkono hawawezi kufanya lolote. Nguvu yao iko kwako na...
Siku ya leo imeandikwa historia muhimu sana katika eneo hili la Afrika, kilichotokea Kenya ni hatua ya mfano!
Naweza kusema jamaa wame set standard kwa eneo letu la Afrika, kazi ipo je nchi zingine zitafika kiwango hiki?
Nawaombea Mungu awavushe salama, warekebishe kasoro na wamchague kiongozi...
Wadau naomba msaada wa ushauri au ufahamu!
Kwa kipindi kirefu nimekuwa na matatizo ya ardhi, ofisi inayoshughulikia tatizo yangu ni Land saveyor ya manispaa. Kuna kipindi nilikata tamaa nikaachana nalo, ila baada ya Lukuvi kuhimiza mwaka jana nikaona ni vyema nikajaribu tena. Bahati mbaya...
Kwa siku kadhaa sasa mitandaoni kumekuwa na habari kuwa wenzetu wa usalama barabarani wanataraji kuanza uhakiki wa bima za magari, nimeona kuna link pia imewekwa ili kujua kama bima ni halali au la.
Kwa wenye taarifa tunaomba watueleweshe vizuri, au wenzetu wanaofanya kazi kwenye vyombo vya...
Huyo mwenye petrol station apeleke wafanya kazi lkzo tu, hamna kazi hapo.
Mwenye gari ukijipendekeza tu na maisha yako ndio mwisho, hao wanatafita sababu tu.
Najiuliza kwa sauti, hivi wangepata hasara gani kama wangeweka watumishi wa kutosha pale uwanja wa taifa na kuweka muda.
Mfano, kuhakiki Tin ni kuanzia saa 2 asubuhi hadi saa 5.
Kwa mara ya 2 leo nimeshindwa kuhakiki, nimekaa naona muda unakwenda tu hata kundi la kwanza lililoingia saa 2...
Kwa haya yanayoendelea kwenye zoezi la uhakiki inaonyesha TRA wanajiondoa kwenye kazi yao ya kukusanya kodi na kuhamia kwenye kutoa adhabu kwa Watanzania. Nipo uwanja wa Taifa, watu wameacha shughuli za kujitafutia riziki na inasemekana itakuwa siku nzima. Pia haina uhakika kama leo...
Jamani naomba kuuliza, kuna video inasambaa kwenye mitandao ikionyeshaa majengo pacha ya bank kuu yakiungua. Je, kuna ukweli wowote, au ndio kutafutiana jela huku?
Salam wapendwa,
Kama kuna wataalam watakaonisoma, napendekeza kuwepo na alama au ishara katika mataa ya barabarani itakayomwonyesha dereva kuwa sasa anayeongoza magari ni trafic na si taa.
Nashauri hivi kwasababu nimeshuhudia kiasi kama mara 2 ajali zikitokea eneo la mataa, sababu kubwa ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.