Mwaka 2009 nilinunua gari yangu aina ya Toyota kupitia rafiki yangu ambaye ni mfanyabiashara wa kuagiza magari yaliyotumika toka japani.
Huyu rafiki yangu pia ni mwanasheria, tuliandikishana kimaandishi namna ya kulipana na mashariti yote nilifuata na gari likafika nchini mwaka huo, 2009...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.