Ni aibu kubwa sana hata kama kuna wengine wanaendelea kuingia sawa ila KIONGOZI LAZIMA UWE MFANO. WAMKABIDHI KINANA kadi maana wengine nasikia huchelewa hata kuzilipia hadi wadaiwe. Ni aibu sana!
Nape ameona mbali hili. Akaona awaumbue. Siasa mbaya sana.
Wanabodi,
Kumbe propaganda dhidi ya CCM ni mpango wa baadhi wa watu ambao wapo upinzani lakini bado wanamiliki kadi za CCM ili kupima upepo wa wananchi. Ndio maana wao wanamiliki kadi za CCM na za vyama vyao vipya.
Swali: Mbona wao wanapopata wanachama wapya wanazichukua kadi za CCM na...
Wanajamvi,
Tupange safu ya viongozi ambao wataiweka nchi katika mstari. Ikiwezekana fasu ikikamilika apewe Mh. Rais anayemaliza muda wake.
Rais ajaye: Edward Lowassa
Vice president: Gharibu Bilali
Prime minister:John Pombe Magufuli
Waziri wa Ujenzi:Mwakyembe
Waziri wa Sheria na Katiba: Tundu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.