ukiangalia wakati james mbatia anatoa somo la takwimu watu makini kama prof.mark mwandosya, ambao wanaujua ukweli aliokuwa anaongea mbatia,alikuwa amekaa ametulia tuli.lakini huyu mnyiramba mwiguli alikuwa kama kabanwa mkojo vile.na kwa maoni yangu m/kiti wa bmk mh.sitta ni muumini wa serikali...
Aache mzaha na kumkufuru mungu. Yawezekana hajawahi panda treni ya kichovu kama hiyo so ilikuwa kama adventure fulani ,anafanya hayo yote akijua mwisho wa siku kule kwenye account yake ya bank ina-overflow, mambo safi,watoto wake asbh wanakula mkate ulopakwa siagi ,na hawana shida.
BAADA YA WANAKIGOMA KUANDAMANA KUPINGA UJIO WA KATIBU MKUU WA CDM Dr.SLAA NA JESHI LA POLISI KUTOA USHIRIKIANO WA KUTOSHA, SASA HEBU ,TARATIBU ZIANDALIWE TUANDAMANE NCHI NZIMA KUPINGA KUSUDIO LA SERIKALI YA CCM KUPITIA TANESKO KUPANDISHA GHARAMA ZA UMEME.POLISI WATOE USHIRIKIANO KAMA WALIOUTOA...
Ndugu wana jf naomba kujua,ikitokea zzk akafukuzwa chadema kabla ya kutueleza(au kututajia majina ya hao watoloshaji) alikofikia kwenye uchunguzi wake wa mabilioni ya fedha zilizofichwa nje ya nchi,je ataweza kuendeleza hayo mapambano akiwa nje ya chadema?(chukulia mfano akatangaza kuhamia ccm).
Nahitaji civil engineering technician (highway engineering)kwa muda wa mwezi 2 haraka sana.mshahara na mambo mengine tutazungumza,ila awe tayari kukaa site kwa muda wote wa project,awe na leseni ya udereva,umri wowote ila asiwe mzee saaana,uzoefu unahitajika ,asiwe mlevi kupindukia(maana...
Hawa wazee (hasa marais)wastaafu waliwatumikia watanzania wote bila kujli itikadi zao za kisiasa,sasa ccm ikitolewa madarakani hawaoni kuwa watapoteza heshima na mwelekeo
Damu nyingi sana ya watu waliouawawa na JESHI LA POLISI bila hatia itaendelea kudaiwa mikononi mwake SAID MBAYA,hasa MIGODINI kama Northmara,Chacha Ngoka,Clever na wengineo wako kuzimu ,they are waiting for you IGP SAID MWEMA.
majambazi ,vibaka,wahalifu wote kaeni mkijua kuwa sasa hivi hapo kinondoni RPC wa mkoa WAMBURA ni moto wa kuotea mbali kwenye issue za intelenjensia so ,acheni la sivyo itakula kwenu kila siku
Kuna tetesi kwamba vigogo kadhaa serikalini wanataka wachukue eneo linalozunguka mgodi wa northmara vitongoji vya murwambe,nyamichele,gokona ili walinunue kwa bei chee toka kwa wananchi husika halafu wao waliuze kwa bei kubwa ya kutisha mgodini,hao vigogo wameomba huo udalali mgodini baada ya...
wana babati imekula kwenu,kwa nini mlikulupuka kumchagua chambili?alikuwa mbunge wa tarime kwa miaka 15(1990-2005)hadi anashindwa na chacha wangwe alichangia bungeni mara moja tu,tena kuhusu kupanda kwa bei ya nyama dar es salaam,.
Naomba kujua yale mauaji yaliyofanywa na jeshi la polisi tanzania kuua mtoto mdogo huko tarime akitokea dukani alikotumwa ,issue imeishaishaje?na ile ya polisi(traffic) kujiua kituoni hukohuko tarime ,kisa kakosea kuongoza msafara wa rais,haya mambo mbona hatuambiwi mwisho wake?
Ndg wana jamvi naomba kwa mwenye uelewa wa mambo ya fidia ya ardhi anisaidie,nina Eneo langu lenye ukubwa wa Hector 1 ambalo nilipewa na baba yangu mwaka 1974,karibu na mgodi wa Northmara(tumeishi hapo toka mwaka 1890)mgodi unatakakuchukua eneo langu ili kupisha shughuli zao ,wameleta wathamini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.