Sony experia P,ile inbuilt whatsapp icon imetoka,haipo kabisaa,najaribu kudownload upya kwa playstore inaleta msg that an error occured in brackets(403)...cjajua wanamaanisha!nifanyeje niweze kuidownload upya niwe online kama mwanzo!!help plz
habari,naomba msaada wa kitaalamu niweze kutatua tatizo la kutoka damu wakati wa kupiga mswaki,pia ni aina gani ya toothpaste nitumie kuondoa tatizo au kama mtu anafahamu professional hospital that naweza kwenda wakanisaidia...tatizo limeanza ghafla tu,naomba msaada jmn,naboreka sana...Thanks.
..unataka kuacha shilingi moja ya kila siku kwa laki moja ya kupita...ckushauri umwache au kumuumiza mkeo,she is already ur wife,mwache huyo mliesoma nae ili naye apate wake hafu aone uchungu wa kupendwa nusunusu kama wew unavotaka kumfanyia mkeo..
Nataman kujua kilugha changu cha kinyakyusa jaman,the bad thing is naskia tu kuitikia sasa kimbembe..sina bibi,babu nor aunties wakunifundisha basi naishia kudakia hicho hicho cha baba na mama wakiongea...kama leo najickia kweli kuongea kinyakyusa jmn ila dah!kujibu sasa ndo mbombo jilipo...
Mimi ni msichana,nimekua nikipata period vizuri tu na last month nlipata tarehe 1 dec, ila mpaka leo cjapata period n mzunguko wangu ni wa siku 28 na kwa mwezi wote huu sijakutana na mwanaume kabisaa,cjui tatizo ni nini hapo,naomba msaada tafadhali...
Habari wana jamii wenzangu!? Natafuta chumba cha kupanga maeneo ya Kijitonyam au Makumbusho.
VIGEZO:
1.chumba na sebule na choo ndani,ikiwa na kispace cha jiko ntafurah zaid
2.kiwe ndani ya geti/uzio, kisiwe na wapangaji wengi sana
3.kuwe na maji
4.kisiwe uswahilini sana
5.kikiwa karibu na...
Ple sana mtoa uzi...mim pia nliomba but walivontumia email ya kutoa 10,000 kwanza kwa M-PESA nkaona uzushi huo...nkawatupa kulee..hamna ofisi wala nini,utawakamatia wapi..itc jus number ya simu of which akishapokea hizo pesa anaicancel humpati tena huyo Director wao..Imagine Director mzimaa...
Naomba nsaidiwe ktk hili,binafsi yng halijawah kunikuta since nianze kuomba kazi na kufanya baadhi ya tempo jobs..ni hivi: Recently kuna kazi ya research assistant ktk NGO moja hapa dsm which is US funded:nimeapply jana,leo nimepata email ya job description,muda wa project yote,payments na kila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.