by jingle:kwa kawaida imezoeleka'inapotoka mishahara hususani ya walim huwa inatoka moja kwa moja lakini kwa sasa benk ya NMB wilaya ya bukombe mkoa mpya wa geita imesimamisha zoez hilo baada ya walim walipokwenda kudraw pesa zao,wingine wamepata robo ya mishahara yao wengine hawakupata...
by jingle:kaka ww sio wa kwanza kuumizwa na hawa viumbe waliopo vyuoni!mm ni mmoja wa waathirika wa jambo hilo!nusra nipatwe na wenda wazimu!siyo kesi chukua muda kulifikiria hilo.that's what life goes!
by jingle:ciello nahisi ni muda muafaka,umri unasonga ati,sitaki mtoto wa uzeeni.si unajua tena kuanzisha familia siyo mchezo!watoto wapate elim na mambo mengine muhim.
Hi!nimewahi kutoa mada kuhusu aliyekuwa mchumba wangu,ambaye ni mwana chuo kunitosa!nahisi yuko ktk mahusiano mapya kwa sasa baada ya kuniweka waz kuwa hanihitaji, kwa sasa ana mtu anayempenda kuliko alivyonipenda mm bila ya kujali tumedum ktk mahusiano kwa muda gani!nilimvumilia kwa kiasi...
thanx ciello,sikupenda kuwa na gf then baadae nije kumtafuta mtu wa kumuoa!nilidhani hatobadilika!nilidhani atakuwa na sifa za kuitwa mama hapo baadae,kama tu kwenye sim anajibu ovyo je ana kwa ana itakuaje,sitaki kujidhalilisha.
nikweli Autorun,nikweli mawasiliano nimuhim sana,nimejitahidi kufanya hivyo kwa asilimia 100 bila mafanikio!mbaya zaidi ananijibu shortcut then anakata sim!mimi ni muhitim wa chuo tayari nishaanza kazi ktk kampun ya mtu binafsi,pia huwa namuwezesha pale anapohitaji msaada wangu,matibabu na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.