Tumeliwa,ni pigo kubwa kumpoteza Balali,maana alikuwa shahidi muhimu kwenye ufisadi,nasikitika si kwa kifo,bali kwa siri nzito aliyokufa nayo.Narudia tena siwezi kumlilia Balali,maana madhara ya ufisadi alioshiriki ni makubwa sana,nalia kwa kutokunyongwa kwake na kufa kifo alichokufa,stahili ya...
Nasikitika sana,si kwa kufa Balali,bali kwa jinsi alivyokufa na siri za pesa za walalahoi wa nchi hii.Nasikitika sana kwa Balali kufa bila kutaja nani alihusika na ufisadi wote wa BOT,ni masikitiko sana,alikuwa shahidi muhimu kwa musitakabali wa mali zetu,
Hii ni jinsi gani serikali ya awamu ya nne,imeprove failur.Kuwakamata wapemba si suluhu,ya wao kutaka kujitenga,bali ni kuongeza tatio juu ya tatizo.Busara na hekima ndio mda mwafaka kwa viongozi kuonyesha,na sio kutumia nguvu for nothing
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.