Mbona Ajibu ni fundi kuliko hata kichuya wenu anayeanza kikosi cha kwanza thimba, mpaka msemaji wenu manara anashangaa kwanini Ajibu haitwi timu ya taifa ?
Dhahiri shahiri serikali Leo itaingia hasara ya kununua vitu vingine uwanja wa taifa, mikia fc lazima watang'oa Vito kama kawaida yao pale makambo na tambwe watakavyo Fanya yao
Mkuu hill ni Bomu lililokuwa likitumia vita vya pili vya dunia, ni aina ya mabomu ya anolojia. Ni sawa na aina flani ya volcano ambayo ni mfu lakini inaweza kulipuka muda wowote baada ya kukaa muda mrefu bila kulipuka. Nakushauri kakitupe getini kwenye kambi za jwtz
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.