Lakini yote haya Jakaya anayajua,si kumlaumu Mawaziri wake tu,na hata yeye yumo,kwani Maisha bora aliyoahidi yako Wapi wakti miaka mitano ndo hiyo inakwisha next year!!!!!!!!!
Ni kweli kabisa wala si uongo, lakini hiyo inatokana na serikali yenyewe kuyafumbia macho mambo haya,wao wanachokijua ni kutafuta pesa na kuwaibia wananchi tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.