Mheshimiwa waziri agizo lako la kumtuma naibu waziri kutembelea Halmashauri ambazo wakurugenzi hawajawalipa hela za kujikimu waajiriwa wapya halistahili Tu pongezi Bali na kuungwa mkono pia.
Ila hapa nimetembelea wailayani Kilwa kwenye hospital ya Kinyonga nimekutana na malalamiko ambayo pia...
Upumbavu wa kiwango cha lami kwa mtu mwenye low iq, Magufuli alipokuwa anakosolewa ilikuwa kwa sababu ya dini yake?
Chawa ifike mahali mfundishwe kujibu hoja siyo upambe
Kama walikuwepo kwenye uchaguzi wa 2020 na wakawapitisha wagombea wa CCM na kuwakata wapinzani wakaharibu uchaguzi ilikuwa ni kufanya kazi ya umma?
Upumbavu pro max
Sijui hayo maridhiano yaliyofanyika kwa muda mrefu na tume ya uchaguzi ikiwa inalalamikiwa mno na wapinzani haya ndio majibu yake.
Naona kama wanavyosema watoto wa mjini, mwenyekiti wa CCM kaamua kuwakamulia ndimu au kuwatia chumvi kwenye kidonda. Hapo ndipo mtakapojua uovu wa CCM
Tatizo ukipigia kura CHADEMA hao walioteuliwa ndio waliotangaza kura kwa CCM. Kumbuka hao ndio waliowapitisha wagombea wa CCM bila kupingwa Kwa kuwaengua CHADEMA na wapinzani wengine
Unajua wapumbavu hawawezi kujificha na wewe ukiwemo.
Alipouliwa Akwilina pale kinondoni kulikuwa na wagombania uenyekiti?
Simon Kanguye alikuwa anagombania uenyekiti?
Kazi ya polisi na vyombo vya usalama ni nini kama siyo ulinzi wa raia na mali zao? Ni hatua gani zilichukuliwa na vyombo vya...
Kabla ya kusapoti upumbavu huu hebu niweke vizuri hapa. Kutumia rasilimali za taifa bila kibali cha bunge wala sheria na taratibu za nchi kama za kutangaza tenda za ujenzi wa uwanja wa ndege kijijini kwake, kumpa tenda hiyo mshikaji wake ni dalili za uzalendo au uhayawani?
Kabla sijaendelea na...
Hoja kubwa ya wakosoaji ni jinsi tume hii hii ikiwa na watendaji hawa ilivyoharibu uchaguzi wa 2020. Tukiwa tunaelekea 2024 kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na 2025 kwenye uchaguzi mkuu kuwarudisha walewale walioharibu inaweza ikaleta tafsiri ya matayarisho ya uporaji wa uchaguzi tena...
Kwa heshima kubwa nakusalimu mama yetu Mheshimiwa Rais wa jamhuri ya muungano ya Tanzania, nakupa pongezi kwa mambo makubwa unayoyafanya kwa maslahi ya taifa hili.
Mama mpira wa miguu sehemu nyingi duniani umefanikiwa kuleta maridhiano, upendo na umoja hata kama kulikuwa na vita mfano Liberia...
Mbwa kazi yake ya kwanza ni kubweka ili kumfurahisha bosi wake, majibwa ya CCM yameanzakubweka tena.
Hadi sasa geopolitical scenery nchini inaonyesha kwenye issue muhimu ni CHADEMA ambayo CCM walishirikiana kuleta maridhiano.
Kesi za kisiasa, kuzuiwa kwa kazi za kisiasa, na kurudishwa kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.