Kwenye msikiti wetu sadaka ikitolewa inahesabiwa hapohapo kinachopatikana huamuliwa na waumini nini cha kufanya k.m bill ya umeme maji nk.Kama kuna jambo kubwa la kufanya mskitini kila anaahidi kiasi atakachochangia kwa uwezo wake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.