Wadau wa forum hii ni watu wa aina mbalimbali wafanyakazi, wastaafu, wasaka kazi n.k ombi langu sasa ni kwa mtu mwenye uwezo wa kuniunganisha (network) ya kupata field kwenye Benki yoyote hapa Tanzania.
Kuomba kwangu msaada kunatokana na ugumu wa kupata field kwenye mabenki yaliyopo nchini...
Jamani huyu dada nampenda sana,her fantastic music,swagg but not how she behave.After she posted her pics on inst. i was like thanx God she is back,aliacha mashabiki wengi mno welcome back..tumuombee zaidi..
Fans wa music mtakuwa mmeona diff. categories za tuzo za kili pa1 na nomineez je unadhani wasanii au msanii gani hakutendewa haki kwa kutowekwa,au maoni yako ni yapi?
Wewe kama fan wao unadhani baada ya Diamond kumrekodi Wema alipompigia simu na kusambaza kwenye social network unadhani ni suluhisho sahihi kwa Wema? audio clip hiyo imesikika Wema akimbembeleza Diamond warudiane.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.