tatizo sio zawadi ila maana ya zawadi kwa anaekupatia zawadi hiyo,ninavyofahamu upanga hauna ishara ya amani hata kidogo,ningeelewa nia njema ya mwarabu yule kama angetoa zawadi ya tende au halua,basi japo kikoi kama chakula kinaharibika.
sina amani kwa sababu sijui zamu ya kanisa langu kuchomwa moto na jamaa fulani wanaoitwa wahuni wakati si wahuni,ukiondoa tukio la mbagala,je zanzibar mwanza na kwingineko ilikojolewa quran?
padre hamtumi mgalatia kuchoma msikiti wala kukwapua vitu vya watu,tatizo magaidi wanatamani damu za watu hata mwanasheria wa shehena alipotaadhalisha magaidi wasiandame bado kiu ya damu ilikua kooni mwao,eti imamu mmoja mitaa ya magomeni alichezea bakora kisa kuwakataza magaidi wasiandamane,hii...
na zanzibar vinakojolewa vitabu,ni heri umfundishe mtu juu ya ubora wa imani yako kwa maisha unayoishi,lakini si kumtisha na nguvu za kitabu chako,amka ndugu yangu risasi,panga,jambia,kiwembe havichagui dini bali vinakula nyama yoyote.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.