Kajiumbua yeye mwenyewe na raisi akimuacha tutamalizia kabisa anawapendelea baadhi ya watu. Na hapo ndio anguko lake juu laja. Maana baba Wa kweli huwa hapendelei baadhi ya watoto au akiwapendelea hao ndio baadae wanageuka kuwa wala unga baadae ambao hawatomsaidia na ndio hao hao watakaomwangusha.
Mnyeti utakuwa na utindio Wa ubongo yaani unatuona watanzania ni mapuuuuuuunga si ndio. Kwani sisi hatujui kutofautisha pumba na mchele? Raisi akikuacheni tutaconclude.
Yaani kila nikifikiria nione kama akili yako imepona huwa napata shida sana kukuamini. What do you mean kusema kila mtu? Yaani unajikakamua kuoongea uongo utachomwa moto siku ya mwisho kisa kumfurahisha mwanadamu. Biblia inasema amelaaniwa mtu amtegemeaye mwanadamu. Amfanyaye kuwa ngao yake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.