Search results

  1. F

    Uhamisho wa Watumishi toka TAMISEMI January 2013

    Namour, mbona mfarisayo wako cjui mgalatia hatoi majina ukiingia anakurudisha ulikotoka au haya mambo ya mitandao yana m2 na m2? Please mkuu kama kweli 2saidie ili nasi tuchungulie. Pressure pressure jaman mtatuumiza wenzenu!
  2. F

    Uhamisho wa Watumishi toka TAMISEMI January 2013

    Wapendwa wana jf mnaofuatilia uhamisho toka tamisemi nami ni mmoja wenu. cha msingi, secondary na college ni kupashana habar kwa yeyote atakaye pata news inayohusu issue hii. mchana nimepata sms toka huko juu kuwa within 2 weeks mambo yatakuwa shwari
  3. F

    Uhamisho wa Watumishi toka TAMISEMI January 2013

    Kuna jamaa aliniambia alifuatilia akaambiwa majina yatatoka kuanzia jan 15. So kama kuna m2 ameshayaona please 2julishane wana jf hapa ndo kupeana news wana jf. Jaman 2naotaka kuhama 2po wengi, wengine ni walimu wanashindwa waazimie au la!
  4. F

    Mwingira na shamba lake kunani?

    Jamani nielewesheni. Kwanini kila siku ni vya efatha tu ndo vinaandamwa?
Back
Top Bottom