Haki ya Demokrasia imebakwa kwa nguvu zote na tume ya uchaguzi na wanafikiri ya kwamba Watanzania hawajatambua hili la ubakaji wa Demokrasia,wanawaaminishia Watanzania kelele ya hapa na pale bila ya kuwepo utendaji wowote wa haki
Chondechonde na nawaambia ya kwamba Watanzania siyo kwamba...
Mtazamo wangu kwa wito huu bila shaka ni habari njema kwa Watanzania..........................Viva CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Hawa Makamanda wako wapi jamani hapo Arusha?
Tunapitwa na mengi mazuri yanayondelezwa na majangili huko kanda ya kaskazini
Filipo Mzee wa Rula PakaJimmy sweetlandy Mungi
Hawa member ni muhimu sana katika jukwaa hili
Hilipendo tunashukuru kwa kutujuza hili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.