Search results

  1. J

    Hongera mzee Paschal Florian Mwarabu kutimiza miaka 70

    Mchango wa mzee Mwarabu hautasahaulika katika mziki wa kanisa Katoliki hapa Tanzania. Mungu azidi kumbaliki na kumjaza nguvu aendelee kutunga nyimbo hizi tamu.
  2. J

    Utafiti: Dhana ya Mfumo Kristu Tanzania na ukweli wake!

    Nakushukuru Baba Muumba wa mbingu na nchi..kwa kuwa mambo haya uliwaficha wenye hekima na akili..Ukawafunulia watoto wachanga! Naamu Baba..maana hivyo ndivyo ilivyokupendeza...data or no data hakuna mfumo Kristu nchi hii! Amen!
  3. J

    Nani kuwa Waziri Mkuu wa tatu kwenye awamu ya nne ya Kikwete?

    Baraza halina wizara muhimu wala AG? Lol!
  4. J

    Full Text: Ripoti ya PAC Bungeni kuhusu Tegeta Escrow Account

    Ungenielewesha kuliko kuniattack..kama wewe umeelewa..basi nipe ufafanuzi..its just that simple. Hapa mie naona kuna yaliyojificha na sisi tunashabikia tusichokijua
  5. J

    Full Text: Ripoti ya PAC Bungeni kuhusu Tegeta Escrow Account

    Hivi kwanini Watanzania tunaangalia kila jambo kihasihasi? Maaskofu ni watu kama Sisi..kuna ushahidi gani kuwa walijua kuwa Fedha hizo sio Mali halali ya Rugemalila? Hivi kama Fedha hizo walizipokea kama mchango wake katika ujenzi wa shule au kabisa..kuna dhambi gani kwa maaskofu hao. I think...
  6. J

    Full Text: Ripoti ya PAC Bungeni kuhusu Tegeta Escrow Account

    Kuna mambo sijayaelewa vizuri na taarifa hii ya Zitto..kwamba AG kaipotosha benki Kuu kuhusu kodi ya VAT...tangu lini kazi hiyo ya assessment ya VAT ikafanywa na AG? Kwani Wizara ya fedha au TRA hawakuwepo kutoa ufafanuzi. Kamati ya Zitto ina uelewa upi wa Sheria kubaini kuwa hukumu ilipotoshwa...
  7. J

    CV ya Prof. Sospeter Muhongo na ushawishi wake kwa wanasayansi, wahandisi na wanasiasa vijana

    Hapo umenena vyema, majungu hupikwa na Mawaziri wabovu na kuenezwa na wananchi wasiojua hili wala lile!
  8. J

    EFD: Wafanyabiashara Kariakoo wagoma!

    Wafanyabiashara katika viunga vya Kariakoo, Wilaya ya Ilala wamegoma kufungua maduka leo ikiwa ni mara ya pili katika kipindi cha mwezi mmoja. Sababu za mgomo huo ni kupinga amri ya Seriakali kuhusu matumizi ya mashine za kielectronic (EFD). Migomo ya namna hiyo imeripotiwa katika miji ya...
  9. J

    Julius Nyaisanga (Mtangazaji wa zamani Radio One na Mkurugenzi wa Abood Media) afariki dunia

    Rip ndugu Nyaisanga...kipaji ulichopewa ulikitumia vizuri..you will be missed!
  10. J

    TANZANIA - A Nation without Heroes (by Mohamed Said)

    This man Mohamed, who in his right mind invites him to deliver a speech!!! What is written is gibberish and has no drop of truth! His religious hatred is no less than that of Al Shabab or Osama! Stop the hate speeches in this forum...better take it to Jukwaaa la Dini!!
  11. J

    Bilionea mwingine Arusha akutwa kafa chumbani

    Arsenal Wenger unatia watu pressure hadi wanaleta habari za kufikirika!
  12. J

    Wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki watofautiana juu ya Vikao vya EALA kufanyika Arusha pekee!

    It is sickening to hear that sitting in different capitals of the EAC contributes to the integration process! So why do we have a headquarter of the Community with an EALA structure? EALA is a waste of time, if you ask me! They end up enacting private laws that cannot be implemented. It was a...
  13. J

    sifa za wanaume wenye vitambi

    Waambie hao wasiojua raha za wenye vitambi! Mwanaume kumfikisha mwanamke hakutegemei umbo lake!
  14. J

    Jengo la Makamu wa Rais na muundo wa msikiti

    Aise, basi kumbe hakuna ubaya kwa jengo hilo kuwa na mwenekano huo! Aliyeanzisha thread hii alitaka afahamishwe na wewe umempa jibu tosha, umesahau tu kusema kuwa hata mfadhili wa jengo hilo anaabudu katika madhehebu hayo! Mfadhili huyo alifadhili baadhi ya majengo ya UDOM ambayo kwa kweli...
  15. J

    CHADEMA na CUF walazimika kuomba msamaha Bungeni

    HIvi CUF ni chama cha upinzani hapa Tanzania au mimi ndio sielewi maana ya kuwa Chama cha Upinzani? Napita tu
  16. J

    Mauaji Ya RPC Mwanza, Barlow

    Kweli kabisa, majibu yatapatikana kutoka kwa Serikali! Amenichanganya sana kuchanganya madiwani wa CCM na Chadema kwenye njama za kumuua Barlow!
  17. J

    Mauaji Ya RPC Mwanza, Barlow

    Wamempima akili? Mkuu wa Gereza anaweza kuamru mtu aachiwe?
  18. J

    Picha: Rais Kikwete aongoza mamia ya waombolezaji katika mazishi ya mzee Ally Kleist Sykes

    Acheni kupotosha historia! Tanzania ilikombolewa kutoka wapi????!!! Watu wanajifanya wasomi lakini hawana lolote!
Back
Top Bottom