Acha kumchunguza Mkeo. Tena sahau simu yake. Kabla ya kumuacha jiulize je kwa Miaka hiyo 10 hujawah chepuka?
Kama hujawah muache.
Pili, hawezi kuwasiliana na Ex wake kama kweli umemtendea haki, unampenda na kumjali.
Huyo ni mali yako na usidanganywe humu ndani ukamuacha. Mke si wa...
Na sasa hivi Ndoa ikimshinda atavunja nyingi sana. Wale wafuasi wake walioolewa wataanza kusema kama Joice ameshindwa mimi ni Nani?
Hivi TAMWA hawawezi kumsaidia?
Wanaume temeni cheche tunataka wanawake waweje kwenye ndoa.... Waache kuhangaika na wanaharakati wakatishaji Ndoa za watu
Kuna haja ya DADA zetu sasa waamke. Hili la kukimbilia Seminar za Ndoa kwa wanaojiita wanaharakati wamebobea kufundisha Maisha ni Uwongo.
Ndoa ni nini?
Huwezi chukua taya la meno yako ya juu ukamuwekea mwingine. Hataweza kutafuna.
Taya lazima zishabihiane.
Huyu DADA arudie kutazama zile...
Jana ameonekana maeneo ya Moshi Kili Home akipata mizinga kadhaa huku anapiga kelele.
Alikua ananipendeza akiwatia moyo wanawake wenzie.
Kwa unywaji na kelele zile amenidisapoint kabisa. Ni haki yake kustarehe lakini atapotosha wengi
Jicho la Tatu
Panya mwenye akili akikamatwa anaongezewa documents akirudi mtaani mnajiuliza kazipataje.
Wazungu hawatuwezi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tukumbuke nchi hii ina vizazi tofauti tofauti vya CCM
ukiangalia vzr kuna vizazi kadhaa vya CCM
vizazi hivi vilizaliwa tofauti ktk miaka ya
1. 1977
2. 1980
3. 1984
4. 1987
5. 1990
6. 1992 (mara Mbili)
7. 1994
8. 1995
9. 1997
10. 2015(Magufulinism)
CCM inavizazi zaidi ya kumi. Viongozi...
Kama haifai manake kuwe na chama Pinzani chenye
1. nguvu,
2. muundo stahiki wa uongozi,
3. wanachama hai yakinifu,
4. viongozi wenye sifa chanya,
5. viongozi safi wasio na tabia za upepo
6. Wamejiandaa kushika dola
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari
Leo nimekwazika na Huduma ya Vodacom . Nilikua nataka kufanya muamala wa Benki kupitia line yangu ya Vodacom. Sikua na salio. Hivyo nikabonyeza *150*00# ili nijiongezee salio la sh 500 kusudi niweze kutumia SIMBANKING ya CRDB.
kawaida lazima laini yako iwe na kama sh 250 ili utumie SIM...
Inasikitisha Serikali
1.haijatoa promotion
2.inavunja Sheria ya Makato ya moja ya tatu
3. Hii 15% imetungwa Kwa sheria
ipi.
Je Sheria hii inakinzana na ile 8%?
4. Wakowap wanasheria watetee raia
Kama unashida ktk ndoa yako na we we ni mwanaume. Mkeo atakua kati ya hawa:-
1. Selfish. Mbinafsi
2. Hana rafiki wa karibu
3. Amelelewa na mama tu.
4. Ananuna mda mrefu kwa jambo Dogo
5. Last born
6. Hukumbuki lini alikuletea zawadi.
7. Hana mawasiliano...
Hivi wanaosema wanaume kulia lia tuu au viazi mnaelewa utamu wa mama? Mimi siwezi mpeleka au kumlazimisha aende kwa mkwe wake yaani my mama. Ataweza mtesa bure. Italumaje uzae mtoto akuletee mwali anakutesa? Badala afurahie maisha ya mwali na wajukuu aanza kulala njaa. Huyu mwanamke kama hajui...
Helo wandugu. Ninaomba ushauri.
Nimeoa na mke wangu ni wa Pwani. Tumepata mtoto ila huyu mwanamke hataki nimpeleke mwanangu kwetu.
Niko Mkoa mwingine kikazi. Huko kwetu nimejenga na nina nyumba yangu. Mama anahitaji walau akae na mjukuu wake siku 3.
Mke hataki. Wala hawazi nikifa Leo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.