Akili yako imeishia hapo kudadavua mambo?? unajua hao walipa kodi uliowataja walipa kodi wakubwa ni wafanyakazi?? unafahamu ongezeko la mshahara ni takwa la kisheria ili kuendana na hali halisi ya kimaisha?? unataka vyama vya wafanyakazi vitete wasiyo wafanyakazi?? unafahamu moja ya jukumu la...
mfanyakazi wa umma anadharaulika sana awamu hii... Ni aibu sana kwa mfanyakazi kuendelea kukatwa hela kwa ajili ya vyama visivyojua majukumu yao katika kutetea wanachama wake.
Trust me kwa changuzi chache za marudio zilizopita ni ujinga wa kiwango cha juu kujipa moyo kwamba uchaguzi mkuu ujao kutakuwa na wabunge wa Upinzani...Unless nguvu hii inayoonekana isitumike. Kinachofanyika sasa hivi Tanzania ni kiini macho tuu nothing else
Another wastage of time... Trust me hili halifanikiwi hata kidogo.. Na badala yakuleta amani litaleta mifarakano na maugomvi zaidi kwenye familia. Lets wait and see
Ni mpuuzi pekee anayeweza kuandika alichoandika huyu . Hasa kipengele cha binti yetu akwilina. Bila kupepesa macho mlaumiwa namba moja Mtulia, mbili mkurugenzi aliyegoma na viapo, wengine watafuatia
Unajiita kingunge lakini akili yako fupi tafta land act na village act then soma ujue ardhi ni yanani siyo kukurupuka na kujibu kama uko kwenye bar ya wauza pombe za kienyeji mdogo wangu.
Upuuzi... Yaani uje na vihela vyako mbuzi uhonge wapumbavu wachache upewe ardhi yetu kijinga uende bank pengine za ndani uchukue hela alafu usifie idea? Kumbaaafu in tz ardhi yote ni ya raisi # Mrpresident we need our land at mlimani city
Another usanii wa kiwango cha lami... udsm ndyo ilotoa aslimia kubwa ya wateule wa sasa does it mean hawakuona huu mtaji?? Serikali iliyoingia huo mkataba ni ya Chama hiki hiki cha sasa haikuona?? Hivi wahusika wa wakati ule na wasasa wanatofauti?? USD 75 ardhi yote ile tuna shida mahali aseee
Hivi hili pato Huwa linakuwa kwenye nini? Naonaga tuu linakuwa ila nikiangalia 10,000 ya Enzi za JK na ya sasa naona kama hazifanani... au kukua huko Maanake ndyo hiyo kwamba asubuhi ukitoa 10,000 ikanunue sukari ndyo ujue hata saa sita haifiki??
Aibu kubwa hii viongozi wa siasa tena watoto kuanza kubishana au kutoa maneno ya kashfa kwa viongozi wa kidini... hii si sawa hata kidogo kwanini hawajiulizi kwanini huko nyuma Haya mambo hayakuwepo?? Majibizano Haya si mazuri Sana na nafikiri hatuelekei pazuri
Mayala Mbona kama heshima yako uliyoijenga hapa jukwaani mda mrefu unaanza kuishusha kwa kasi sana... Hivi neno mwanza siku hizi lina wakilisha neno Nchini... acheni kutonesha vidonda Vya watu Jamani Kuna Watu mpaka Sasa wako nje na mvua za sasa zinawatesa.
Aisee mangi anaandika weee Ila Blaza hamuoni... hata punguani ukimuuliza Jelly na Mzito nani an hoja atakujibu nafikiri Jelly atulie tuu si saizi ya Mzito hata kidogo... Jelly uwezo wake uko kwenye kwnini leo moja moja!?
Hongera Kwake Ila linalonitatiza ni kwamba Hakimiliki (Copyright) iko chini ya wizara ya viwanda na Biashara. Sheria yake inapitiwa na kamati iliyoundwa na wizara ya habari sanaa na michezo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.