Habari hizi sio za kweli na Kama Serikali itaona kuna haja ya kuwa na Ubalozi mdogo Guangzhou basi itafanya hivyo kwa kumteua huyo Balozi mdogo moja kwa moja toka Tanzania na mwenye vigezo na sifa.
Ebu tuondolee hoja za ubinafsi.Watu kama nyie ndo mnaoendeleza fikra za kifisadi.Kwa hoja yako ya kibaguzi ni wazi kabisa kuwa ukiwa kwenye POSITION lazima uweke mbele UBINAFSI.Badilika mwanangu kama si mjukuu wangu
[QUOTE=mrugaruga;537289]Ndiyo, RRI wanatengeneza TURBINE za kutumia natural gas tuliyonayo hapo nyumbani.
Je una data zozote kuhusu ule mradi wa pili wa Oil Generator wa Mwanza?ule wa 60MW?je atachukua mjukuu wa richmond?
Kuna miradi miwili ya Tanesco.Moja wa Majenereta ya kutumia oil kuzalisha umeme .Huu utakuwa Mwanza na ni 60MW.Mwingine utakuwa wa majenerator ya Gas 100MW utafungwa ubungo.Sasa kama nilivyowaambia kujitahidi kufanya uchunguzi wa Hii miradi isije kupewa kampuni mtoto wa richmond a.k.a Noor...
Aisee huyu bwana mdogo Zitto Dowans anaanza kuchafua hali ya hewa!!Walio karibu naye huko Tz .Pamoja na Tanesco kutangaza kununua mitambo mipya miwili yenye kuzalisha 160MW yeye bado anang'ang'ania Dowans!
Watanzania si wajinga TENA!! Hatutalazimishwa kuoga maji machafu na walio wachafu!Zitto kaoga maji machafu aliopewa na wachafu.Mwakyembe katu usiyaoge maji hayo!
Magufuli pongezi zikufikie.Ni mwanzo mzuri na kaza mwendo ,tutafika.Nadhani bie ya samaki ni Ghali kutokana na MAHARAMIA KUIBA SAMAKI WETU.Kwa hiyo mwanzo huu utaleta unafuu kwa siku zijazo na tutapata samaki wengi na kwa bei nafuu.Naamini mpango huu una maana kubwa ya kudhibiti Maharamia ili...
Sioni sababu ya kumshupalia Zito.Alilewa umaarufu kiasi cha kutufanya wana JF mabwege na akifikiri kila atakachosema tutamsuport akifikiri JF ni upepo unaolekekea chama fulani,kwa hiyo maamuzi atakayosema na misimamo basi nasi tutaelekea huko.JF haina CHAMA,HAIMBEBI MTU,ila Inasupport,inalinda...
Hiyo ni kweli.Wachina karibu miaka 5 sasa hawatumii pikipiki za petrol.Ni pikipiki za umeme tu.Na ukionekana una ya petrol unakamatwa.Wanapunguza uchafuzi wa mazingira.
Sasa kama utafiti huo ni kwa uingereza tu,hapa bongo sijui.ila bongo mambo ya internate ofsini siyo kila kompyuta in net,nahisi kupiga michapo na jana ulikuwa kiwanja gani na mtu gani bado yanachukua nafasi kubwa sana maofsini pale bongo
Yaani Son of Alaska mpaka leo hujui dunia maendeleo yake kama yameamia CHINA? Hapa Toronto masela kibao wameanza kuzamia China .Si wazungu si weusi.Mimi mwenyewe nimepata niko mbioni kwenda kuishi kule.Naenda kuishi SHENZHEN au SANYA
We dogo angalia sana.watu hatulali kuhakikisha ufisadi unaisha wewe unakuja kuupaka mafuta? Kwanza huna unachoambulia kwa hao mafisadi ,then unapiga makelele tu ili wajue unawasaport.WATANZANIA SI WAJINGA TENA!
Shukrani mtoa wazo.Na wazo linaweza kuzaa wazo kulingana na response ya wadau.Kwa sababu lengo ni kuelimisha na kumkomboa mwananchi hata wa kule mwakaleli,basi sisi kama wamoja ndani ya jf tunachoweza kufanya na bila kuathiri majina yetu tunayoyatumia ,na bila kuathiri maana ya jf kama chombo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.