HABARI WANA JAMII,Julias Malema aliye kuwa kiongozi wa vijana wa chama tawala South Africa mali zake nyingi pamoja na jumba la kifahari vina pigwa mnada kwa sababu ya yeye kushindwa kulipa kodi (alikwepa kodi).
Je kuna uwezekano wa kutofautisha pesa na siasa! wanasiasa wengi ni matajili na wana...
Maoni yangu si-ya kisiasa:mbuzi hawezi kuwa ngombe, Mnyika ni kichwa tu kwani uwezo wake ndio una onyesha jamaa ni bright sn achana na mambo ya kisiasa.
Ni kweli mimi alikuwa room mate wangu,baada ya kumaliza form 4 alipotea kabisa na akaja kuibuka katika siasa na kitu kingine ambacho ni suprise Nape hakuwa na hobby ya uongozi ndio maana labda alikuwa akiitwa mlokole,alikuwa mpole na asiye kuwa na dalili zozote za kutaka kuwa kiongozi kama pia...
Kwa maoni yangu naona kwamba magufuli yuko sawa kabisa,kwani wana siasa wakikaa mda mrefu hawaja ongea kitu wana hisi kama vile wamepotea kwa hiyo issue kama ya magufuli ikitokea wanakomaa nayo na wakati aina tatizo lolote,ushauri wangu kwa chadema wanachi watawachoka mkianza kukomali Vi-issue...
Jana nilisikia kauli ya serikali kwamba wametenga 500milion kwa ajili ya kuboresha miundo mbinu katika majengo kwa ajili ya walemavu,kwa mtazamo wangu pesa hiyo ni kidogo sana iki linganishwa na ukubwa wa issue yenyewe ni vema ika ongezwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.