huwa nasoma sana comment zako nahuwa zinamaana sana,lakini kwa hili umepotoka kidogo!!kama hujatumwa kumsafisha gwajima basi achana nalo na endelea na mambo ya kuelimishana kimaendeleo,huko ulikoenda waachie wa mipasho,labda kama na wewe umehamia sekta hiyo!!
ni kweli kitendo alichofanya kwa kutembea na mke wa jirani yake ni kosa na aibu kubwa,swali je hiyo fidia ya milion 1 inaweza kufuta aibu ya mke wake kukutwa gest?je hakukua na njia nyingine ya kulirekebisha hilo hilo kabla ya kuita mapaparazi?
Acha woga mtoto wa kiume,jiamini!;inawezekana wale wenye benz ndio wana maisha magum sana kuliko hata huyu mwenye subaru,maisha ya ndoa usiyapimie ukiwa nje utaumia sana na utafeli
nenda pale kabla hujafika baruti kuna kituo kinaitwa rombo,kuna waalimu wazuri wa vifaa hivyo,ukipita barabarani utaona bango la kitambaa upande wa kushoto
kweli nimemsikitikia sana ndugu yangu zitto,ni miongoni mwa vijana niliokua nawakubali sana hasa kwa misimamo yake,najiuliza sana,je alipagawa na nini huyu jamaa?binafsi nilijua angekwenda kwa viongozi wake kukiri na kutubu kwa umakini kabisa,na bila shaka haya mambo yasingefika hapa yallipofika...
wangoni na wapare hawana hiyana(yaan sio wachoyo ktk kutoa penzi,tofauti yao ni kubwa ni kwamba wangoni wanajua sana wawapo kwenye 6 kwa 6,ila wapare hawana lolote uwanjani,ni kama gogo vile
habari kijana!!kama ni swala ajira kwa nchi hii unaweza ukasomea kitu fulani na usifanye kazi katika hiy sekta uliyosomea,ila sasa kwa swala uwanja mpana wa ajira nakushauri usomee AGRICULTURE.Hii ni nzuri na haina ushindani mkubwa kwa sababu hata waliosmea course hiyo ,huwa hawapendi kufanyia...
acha unafiki wewe!!umeshatibua na umeona watu walivyojibu then unajifanya kujirudi kijanja!!kwani usinge ipost hiyo mada baada ya kuona tofauti hizo ungepungukiwa na nini??una upeo mdogo kuliko hata ukubwa wa punje ya haladari
kwa kweli huyu jamaa aliyetoa mada nimemshangaa sana,kweli humu jamvini kuna watu wenye upeo wa namna hii kweli? na sio wale Great T hinker niliokua nawafurahia kusoma comment zao!!kweli mda hii imenisikitisha sana.
wewe cute!sio kila mada unayoikuta humu ni lazima uichangie hata kama huna point muhimu,hili ni swala la kuhudhunisha,na mleta mada ameshasema kua ni shot ya umeme,sasa hayo unayoyanena yametoka wap?!!hili jukwaa la watu wenye hekima na utashi uliokomaa,ndio maana kumetenganishwa majukwaa,kua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.