Search results

  1. bm21

    Jifunze njia nzuri ya kufanya manunuzi kwenye mtandao (Ebay, Amazon, Bestbuy)

    Nimekuwa nikijaribu kujiunga na PayPal hapa Tanzania bila mafaikio. Msaada tafadhari
  2. bm21

    Hotuba ya Rais Kikwete, Bungeni Dodoma - Novemba 07, 2013

    JK analifilisi taifa kunasababu gani ya kuwa na gwaride Dododo wakati shughuli yake kuu ni kuhutubia bunge.
  3. bm21

    Re: Waiters and waitresses job opportunities in arusha

    Arusha Residents: Good News, SF Ground of Companies is looking for waiters and waitresses kindly send your CVs to betahaness@yahoo.com. Work starts immediate after interview. Thanks and best regards.
  4. bm21

    Taarifa ya jeshi la polisi kuhusu oparesheni inayoendelea mtwara

    Nafikiri uwezo wa kiakili wa huyu kamanda ni mdogo sana hastahiri hiyo nafasi. Mteuzi wake kama ni makini alitakiwa kuwa ameshamfuta kazi kutokana na report hii
  5. bm21

    Taarifa ya jeshi la polisi kuhusu oparesheni inayoendelea mtwara

    Kwanini Jeshi la Polisi litafute waanzilishi wa vurugu. Mi naona ni haki yao kuprotest. Jeshi la polisi ni wajibu wao kuzuia vurugu. Kuwasaka waanzirishi wa protest ni kuwanyima raia haki ya kuprotest which is unconstitutional act
  6. bm21

    VIDEO: Dr. Ulimboka; kwa kinywa chake mwenyewe! | Ambayo hukuyajua...

    Oops mbona mii sioni link ya hiyo vidio. msaada pls
  7. bm21

    Soko La Mbao!

    Check inbox I need it
  8. bm21

    Mazishi ya Mh. Regia Mtema huko Ifakara (updates)

    R.I.P Regia Mtema!!! There is no good word to express how we will miss your presence.
  9. bm21

    Rais Kikwete na mazungumzo na ujumbe wa CHADEMA

    Amani ni kitu muhimu lakini hakipaswi kuwa sababu ya kuzuia mambo mhimu yasijadiliwe
  10. bm21

    JK anaharibu hadhi ya elimu kwa kujiita Dr. wakati siyo, pamoja na wanasiasa wengine

    Nadhani anahitaji hiyo title that's why watu wanaomaddress wanajikuta ni lazima waitumie. Mkapa pia anadoctorate ya heshima kama ya Kikwete lakini hakuwa addressed as Dr. mpaka sasa, so the dude likes that title
  11. bm21

    Ooh Poor NSSF!! - What is this?

    M.M, Natambua unatambua NSSF imejenga Flats za Police Kurasini, Zanzibar (Unguja) na Pemba. Pia NSSF kwa kushirikiana na mifuko mingine under PPL wamejenga Ukumbi wa Bunge (Mjengoni) about 45 billion. NSSF hii imejenga UDOM about 300Billion. NSSF inampango wa kujenga ubarozi wa Tanzania Kenya...
  12. bm21

    Dr. Dau achaguliwa kuwakilisha nchi 15 za Afrika ISSA;

    I know better the guy, basically he is good shida yake kuu ni UDINI
  13. bm21

    Masoud Kipanya is wrong about SUA

    Usually, a 10pages paper or so can be summarised and presented in just one cartoon. In this case interpreting the same need well focused, analytical and with fresh mind guys to comprehend what the cartoonist meant in his/her cartoon. I'm afraid lack of these is what makes this discussion so long...
  14. bm21

    Mrema wa TANROADS ang'olewa rasmi

    Suala la Mrema kama linavyoreportiwa ni suala kubwa sana na halipaswi kuchukuliwa kiushabiki wa kumshabikia Magufuli tuu kama inavyoonekana hapa. Nimesoma tuhuma za Mrema magazetini hazitofautiani sana na zile za mafisadi papa. Lakini ninavyofahamu mimi issue ya Mrema haitofautiani sana na ile...
  15. bm21

    NADHAMIRIA KUISHTAKI Zain kwa UCHOCHEZI

    ''Tatizo tulilo nalo hapa bongo hatuna mikataba na huduma hizi yaani zipo zipo tu. Nikama tunasainishwa automatically that's why watu wa promotion hawapata ridhaa ya wahusika''
  16. bm21

    Ephraim Kibonde Jahazi Show

    Ujinga unamsumbua msomi huwezi kuwa na mawazo mgando kivile
  17. bm21

    Bank Lending Conditions

    Bank lending rates are out to be a function of returns from alternative investments. For Commercial Banks, alternative investment is the investment in government securities such as Treasury Bills and Treasury Bonds. Treasury Bonds and Bills Auction Summary held on Feb 10, 2010 which is a typical...
  18. bm21

    Tanroads zigo kwa Waziri Kawambwa

    The only difference between those in power and normal civilian is that the former have platform, well informed and can use the platform to fool the later for the later depend on manipulated information from those in power.
  19. bm21

    Mama Zitto Kabwe amkampenia JK

    You nailed it man
  20. bm21

    Kupinga wagombea huru, ni uamuzi wa "Kipumbavu"

    Nipo online waiting
Back
Top Bottom