Arusha Residents:
Good News,
SF Ground of Companies is looking for waiters and waitresses kindly send your CVs to betahaness@yahoo.com. Work starts immediate after interview.
Thanks and best regards.
Nafikiri uwezo wa kiakili wa huyu kamanda ni mdogo sana hastahiri hiyo nafasi. Mteuzi wake kama ni makini alitakiwa kuwa ameshamfuta kazi kutokana na report hii
Kwanini Jeshi la Polisi litafute waanzilishi wa vurugu. Mi naona ni haki yao kuprotest. Jeshi la polisi ni wajibu wao kuzuia vurugu. Kuwasaka waanzirishi wa protest ni kuwanyima raia haki ya kuprotest which is unconstitutional act
Nadhani anahitaji hiyo title that's why watu wanaomaddress wanajikuta ni lazima waitumie. Mkapa pia anadoctorate ya heshima kama ya Kikwete lakini hakuwa addressed as Dr. mpaka sasa, so the dude likes that title
M.M, Natambua unatambua NSSF imejenga Flats za Police Kurasini, Zanzibar (Unguja) na Pemba. Pia NSSF kwa kushirikiana na mifuko mingine under PPL wamejenga Ukumbi wa Bunge (Mjengoni) about 45 billion. NSSF hii imejenga UDOM about 300Billion. NSSF inampango wa kujenga ubarozi wa Tanzania Kenya...
Usually, a 10pages paper or so can be summarised and presented in just one cartoon. In this case interpreting the same need well focused, analytical and with fresh mind guys to comprehend what the cartoonist meant in his/her cartoon. I'm afraid lack of these is what makes this discussion so long...
Suala la Mrema kama linavyoreportiwa ni suala kubwa sana na halipaswi kuchukuliwa kiushabiki wa kumshabikia Magufuli tuu kama inavyoonekana hapa. Nimesoma tuhuma za Mrema magazetini hazitofautiani sana na zile za mafisadi papa. Lakini ninavyofahamu mimi issue ya Mrema haitofautiani sana na ile...
''Tatizo tulilo nalo hapa bongo hatuna mikataba na huduma hizi yaani zipo zipo tu. Nikama tunasainishwa automatically that's why watu wa promotion hawapata ridhaa ya wahusika''
Bank lending rates are out to be a function of returns from alternative investments. For Commercial Banks, alternative investment is the investment in government securities such as Treasury Bills and Treasury Bonds. Treasury Bonds and Bills Auction Summary held on Feb 10, 2010 which is a typical...
The only difference between those in power and normal civilian is that the former have platform, well informed and can use the platform to fool the later for the later depend on manipulated information from those in power.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.