Hapa ndio ukweli ulipo mchawi mkubwa wa Simba ni MO, tutahangaika na kina Try again na Mangungu lakini ukweli hela ya usajili inayotoka na ya kibubu na kwa kuwa bodi inanguvu mapato yote yanaenda kwa MO na wajanja wenzake hao kina Try again.
Huyu jamaa hafai kuwekeza Simba yaani GSM ni zaidi ya...
Utakubalije kupigwa na Bodi uliyoichagua ambayo unajua fika watakuharibia uwekezaji wako lakini pia unapata hasara, hakuna anaewekeza ili apate hasara. Yale maneno yake yakutafuta huruma ili aendelee kupiga vizuri.
Yanga walijifunza kwetu wakaboresha wametupita sivibaya na sisi tukajifunza...
Mfumo wa uwekezaji Simba ulipaswa utengenezwe Mo akiwa nje, ila Mo kaichukua Simba ikiwa hoi alafu akailambisha hela kidogo alafu hapohapo akaweka wazo lake la kuwekeza huku asilimia 99 akiweka mawazo yake akijua fika mwishoni yeye atafaidi asilimia 100 huku club ikifa maskini.
Hata sasa kuna...
Hawa viongozi hata wakitoka simba ni ileile, shida hapa ni Mo hatoi hela na akitoa ni hela ndogo na hawa viongozi hawawezi sema ukweli kwa sababu mrija utakata. Pale juu kuna watu wanajua ukweli ila hawawezi sema mirija itakata.
Hapa wakudeal nae no Mo ndie anaeua timu.
Yaani hizo basi za watu 50/60 kutokana na ukubwa na nafasi iliyopo mzinga wake hawafi watu wengi, ingekuwa coaster hapo ya watu 30 asingetoka mtu hata mmoja.
Mengine naunga mkono
Aisee ukipata mke anakupenda na kukuheshimu kama mume shukuru Mungu, huyu ni mwimbaji wa dini yanamtoka moyoni mwake hayo maneno alafu anaona yupo sawa hii ni hatari. Dunia ya leo Ndoa nikubet tena huko kwenye dini mashetani ndio wengi.
GSM kaja juzi tu ila kila mwaka Yanga inapiga hatua, ahadi zilizowekwa Simba zimekuwa wimbo wa Taifa kila mwaka, watu wancheza na fursa mwambie aondoke simba uone kama itakosa mwekezaji.
Yaani comment kama hizi lazima ww ni sehemu ya wapigaji, huwez fananisha management ya Yanga kwa Simba, wachezaji Yanga inaowasajili wako vizuri, wananguvu na morali sio Simba utumbo mtupu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.