ukiona wanakimbili huko maana yake kuna loopholes za kukwepa kodi nakufanya biashara zisizo nyooka,wakibana na huko watakibia tena. ukinyooka TRA HAWANA HATA SHIDA NA WEWE
Akalipe, kodi ina sehemu mbili mapato(mauzo ghafi)/matumizi mapato yako msotly TRA wanakuwa nayo. ni wajibu wako kuthibitisha matumizi yako kwa risiti/viambatanisho kinyume cha hapo utaona ni wa kuonewa.
Atakua anakatwa P.A.Y.E huyo hajui TRA kwamba ni akili matope?
Ni kweli watu wana arrears na zingine zinakwenda way back 10 years wakitumia nguvu nyingi kudai arrears kuliko kumfanya mlipa kodi astawi waweze pata zaidi mbeleni?
Na ni kweli sheria yao ya arrears haijafanyiwa marekebisho...
mjasiriamali mdogo,
Mbona sie wengine hatukuyapitia hayo?
Walipotangaza wanatoa vitambulisho, tuliambiwa NIDA wamekuja kw ofisi ya serikli, ya mtaa, tukaenda tukapewa form tukajaza na kurudisha na viambatanisho muhimu ni cheti cha kuzaliwa(namba yake waijaza kwenye cheti pia) baada...
Kisa tu i have a diffrent opnion than yours??
Umetoa hoja, nimekujibu huwezi kuta shule ya kiislam ikiongoza kwenye ranking za matokeo ya necta sababu hawafukuzi/chuji wanafunzi neither have they commercilized elimu?
Matatizo yangu mengi kichwani ni yepi hapo??
Angalia matokeo kama haya...
Abuu Dharr,
Uislaam hauruhusu kuchuja na kufukuza watoto wasio na uwezo, kw shule zetu zina waroro wenye div 1 had Div 0 na hakuna tunaye shindana nae.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.