Search results

  1. K

    Watanzania (wengi) ni evil!

    Shule chache sana za bording hapa Tanzania, hivyo watanzania wachache pia wanapeleka watoto wao katika shule hizo. Si kweli kuwa watanzania wengi ni evil
  2. K

    Kama Prof. Kabudi anashutumiwa kujiuzulu, basi Rev. Msigwa awe wa kwanza kuachia ngazi kwanza kwa makosa makubwa aliyofanya 2015 kwa kumpokea EL

    Hujaeleweka kabisa, Madhara yaliyo letwa na maamuzi au ushauri wa Kabudi hawawezi kulinganishwa na Lowassa kupokelewa CDM. Wananchi wa mikoa ya kusini wamepata umasikini wa kutupwa kutokana na ushauri mbovu wa Kabudi. Pia hukulazimishwa kuunga mkono CDM kwa kumpokea Lowassa kama ambavyo...
  3. K

    Orodha ya watumishi waliohakikiwa

    Naomba pia kwa watumishi wa Mkoa wa Mbeya
  4. K

    Elimu bure: Bomu kwa taifa

    We MWL wa wapi? Huku kwetu hata walimu makada wa ccm hawaafiki juu ya Elimu bure. Ni hasira kubwa kwa watoto waliopo shuleni kwa sasa. TAIFA hakuna dira ya Elimu kila Rais na waziri wa Elimu wanaamua juu ya mwelekeo wa Elimu. Kwa sasa shule zimekuwa sehemu ya kujumuika badala ya kujifunza.
  5. K

    Bunda: Madiwani wa CCM wagomea Madawati yaliyotolewa na Mbunge wa CHADEMA Mh. Bulaya

    Si kweli kuwa madawati ya kata ya Lufilyo yaliyokataliwa ilitokana na mgongano wa kisiasa kati ya ccm na upinzani, Bali ni mgogoro kati ya diwani wa ccm wa sasa na aliyekuwa diwani wa ccm aliyepita kwani ana kinyongo cha kushindwa
  6. K

    UWT jitokezeni kumtetea mwanamke mwezenu dhidi ya unyanyapaa wa UKAWA

    Mimi mpaka leo sijaona upungufu wa wale waliotoka bungeni na hao waliobaki, Sikumbuki hata moja zuri lililojadiliwa na waliobaki zaidi ya kuacha kujadili bajeti Bali kujadili ukawa muda wote. Nilitegemea waliobaki wajadili bajeti kwa utulivu na kwa kina ili tuone hoja zenye mashiko. Maoni yangu...
  7. K

    Hongera Rais Magufuli kwa kutukumbushia Damu ya Dr. Ulimboka

    ULIMBOKA, Anasadifu jina lake kikwetu inamaanisha, UNIOKOE, Ulimboka alikuwa na nia ya kuwaokoa wagonjwa na madaktari
  8. K

    HOJA! Hivi Taifa la Tanzania ni Taifa la watu gani kwa sasa?

    Hivi zile milioni 50 kwa kila Kijiji tutaanza kupewa lini? Maana kuna vijiji vin njaa Kali na vingine vina mafuriko, so zingeweza kutusaidia?
  9. K

    Waziri Mkuu Majaliwa ndani ya Bandari tena. Makontena zaidi ya 2,400 yamepita bila kodi

    Kumbe ndiyo maana kagame alisema, mniachie bandari muone nitavyopaisha uchumi,=>kontena 300 = kodi bil 80, je kontena 2300 kodi =?
  10. K

    Je, ni kweli hii nyumba ilikuwa ya ukoo wa Edward Lowassa?

    Hivi ni kwa kiasi gani tulifaidika na ile meli iliyokamatwa ikiwa na samaki? Sheria ni msumeno.
  11. K

    Tanzania ya Magufuli na viwanda, ''Nchi ya kufikirika''

    Huku mbz, tdm, na mblz leo ni zaidi ya wiki umeme hukatwa saa 1 kasoro asubuhi na kurudishwa saa 5 usiku
  12. K

    Zaidi ya 50% ya wabunge CHADEMA kushindwa 2020

    Lini umeona watoto wadogo wakiwa bungeni na kutokatoka? je jana walitoka au walifukuzwa na spika? wananchi watatetewa vp huku wengine wakivunja katiba?
  13. K

    Hivi huu mdahalo ulio Star TV ni kampeni au kuhamasisha amani?

    ukiangalia kwa mbali hata wachangiaji walikuwa wamepagwa, ndo maana wengine walijinasibu kuwa watampigia kura jpm wakati wakijua fika kura ni siri. pia wasitutishe vita siyo razima viibuke wakati wa uchaguzi,Libya,Tunisia na misri hakikuwa kipindi cha uchaguzi. hakika mjinga akibumbuluka mwelevu...
  14. K

    Nisichokielewa kwa Humphrey Polepole juu ya Katiba mpya na UKAWA ni hiki

    Pole pole anavizia kupewa ukuu wa wilaya
  15. K

    Aliyekuwa mbunge wa Sikonge, Said Nkumba abwaga manyanga CCM na kujiunga CHADEMA

    Awe mwanachama wa kawaida kama mimi, sasa tumechoka, huyu katoa maneno mbofu mbofu sana dhidi ya upinzani, hatofautiani na nkamia na serukamba
  16. K

    Usahihi: Dr. Slaa yupo CHADEMA

    hapa naona tunadanganyana tu, hakuna AMANI ndani ya cdm, ndiyo maana msemaji mkuu wa chama amegoma kutoa taarifa rasmi kwa Yale yanayoendelea ndani ya chama hatimaye makamu KATIBU mkuu ndiye kawa msemaji wa chama. SINA IMANI NA WANA SIASA
  17. K

    Yaliyojiri Mkutano wa CCM na waandishi wa habari Peacock Hotel

    Au kwa kuwa lowasa hajarudisha kadi yao.
  18. K

    Jicho la Tatu: Naona CHADEMA mmeanza rafu mapema, mkichezewa msilalamike

    wewee, hi ni tz yetu wote, mnkipita kubomoa, wanakuja kujenga, kuziba NA kufunika nyufa mlosababisha tatizo labda ungesema mikutano hufanyika eneo moja kwa wakati mmoja
  19. K

    NEC Yatangaza Majimbo 26 mapya ya Uchaguzi

    Heri wangekubaliana kuwa rasmu ya warioba ya kuwa na serikali 3 na kupunguza idadi ya majimbo
  20. K

    Yaliyojiri Bungeni - Julai 04, 2015: Spika aamrisha wabunge wa Upinzani kutolewa Bungeni

    Baada ya wabunge wa UKAWA kutolewa ndani ya bunge, walobaki wameanza kuwajadili badala ya kujadili miswada ya gesi
Back
Top Bottom